kirisha
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 573
- 663
Niliomba ushauri huku mkanipa vizuri kabisa nikaenda kufanyia kazi.
Nilifanikiwa kupunguza deni kwa mtu mmoja ila bado deni langu kubwa sana.
Alafu mzigo dukani umeshuka sana mwezi wa kwanza napaswa kulipa kodi na pia Kuna watu napaswa kuwalipa madeni yao.
Hapa nipo njia panda kabisa sijui nifanye aje ili nitoke kwenye hii changamoto.
Naombe mawazo yenu.
Nilifanikiwa kupunguza deni kwa mtu mmoja ila bado deni langu kubwa sana.
Alafu mzigo dukani umeshuka sana mwezi wa kwanza napaswa kulipa kodi na pia Kuna watu napaswa kuwalipa madeni yao.
Hapa nipo njia panda kabisa sijui nifanye aje ili nitoke kwenye hii changamoto.
Naombe mawazo yenu.