Madeni ya NHIF yasababisha hospitali nyingi kulemewa katika kutoa huduma

Madeni ya NHIF yasababisha hospitali nyingi kulemewa katika kutoa huduma

Ndokeji

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2011
Posts
698
Reaction score
476
MFuko wa Afya ya Taifa BIMA(NHIF) Umekuwa ni mfuko wenye wateja wengi ,ulianzishwa kwa lengo zuri la kuhudumia wanachama wao kupata huduma ya afya katika ngazi zote za Hospitali, Mfuko huu wa Bima umekuwa ukidawai na Hospital kwa takribani Miezi 6 Bila kuzilipa,Huku Hizo hospitali zikiwahudumia wanachama wao bila Malipa, Hospitali zimefika sehemu zinadiwa kwa kukosa vifaaa tiba na

Madawa kutokana na kukoswa pesa za kujiendesha, kwa kuwa zinahudumia wanachama kwa kukopa zaidi ya miezi 6, Hospitali moja

Kama MNH inaida 30bill , Huku hospitali zingine zikiendelea kulia kilio cha mbwa koko bila Msaada,Serikali imekuwa kimya juu ya kutatua hili swala Mkataba wao unasema ndani ya siku 60 ,hospitali iwe imeshalipwa.

Wananchi wengi wajitokeza kujiunga na huu Mfuko,lakini wanapofika kupata huduma, wanaishiwa kupewa dawa ambazo haziwasaidii kwa kuwa hospitali hazina uwezo wa kununua dawa ,
Tunakoelekea serikali naishauri

1) Ifumue uongozi wa Bima kwa chelewesha claim za Za Madeni
2) Wananchi wengi mpaka sasa wa Bima za afya, na tunakoelekea wengi 70% watakuwa na Bima, Hapa ndio afya inaenda kufa, ikitaka wainusuru wahakikishe claim zinalipwa mapema
3)Kuwepo na Taasisi itayoweza kusimamia Mifuko ya Bima ikiwemo mifuko Mingine
3) Waruhusu Hata Mifuko Mitatu ya Bima atleast kuwepo na competition
4)Kama Serikali ndio Msimamizi Mkuu Basi tuendako ajiandae kulaumiwa kwa kushindwa kusimamia
5)Claim za Malipo zilipwe mapema ndani ya mkataba
 
Ni muhimu ulipaji ufanyike kila mwezi na sio miezi mitatu.

Suluhu ya mfuko huu ni sheria rasmi ya bima ya afya kwa wote.
 
Hii bima ya afya, kimantiki ni nzuri.

Lakini kwa upande mwingine kuna watu wanaoitumia kama uchochoro wa kuhamisha pesa serikalini kwenda kusikojulikana.
 
Jiwe bila shaka ndio kakomba hela za huu
Mfuko kazielekeza kwenye miradi yake.
 
Ni muhimu ulipaji ufanyike kila mwezi na sio miezi mitatu.
Suluhu ya mfuko huu ni sheria rasmi ya bima ya afya kwa wote.
Kingine national makato ya 3% ni madogo sana yamepitwa na wakati waweke japo 10% mfuko utaweza kuhandle pressure za wanachama wake
 
Ni muhimu ulipaji ufanyike kila mwezi na sio miezi mitatu.
Suluhu ya mfuko huu ni sheria rasmi ya bima ya afya kwa wote.
Babu naona una swing na beat.....MatAga unafiki mnauweza!!!
 
MFuko wa Afya ya Taifa BIMA(NHIF) Umekuwa ni mfuko wenye wateja wengi ,ulianzishwa kwa lengo zuri la kuhudumia wanachama wao kupata huduma ya afya katika ngazi zote za Hospitali, Mfuko huu wa Bima umekuwa ukidawai na Hospital kwa takribani Miezi 6 Bila kuzilipa,Huku Hizo hospitali zikiwahudumia wanachama wao bila Malipa, Hospitali zimefika sehemu zinadiwa kwa kukosa vifaaa tiba na Madawa kutokana na kukoswa pesa za kujiendesha, kwa kuwa zinahudumia wanachama kwa kukopa zaidi ya miezi 6, Hospitali moja Kama MNH inaida 30bill , Huku hospitali zingine zikiendelea kulia kilio cha mbwa koko bila Msaada,Serikali imekuwa kimya juu ya kutatua hili swala Mkataba wao unasema ndani ya siku 60 ,hospitali iwe imeshalipwa
Wananchi wengi wajitokeza kujiunga na huu Mfuko,lakini wanapofika kupata huduma, wanaishiwa kupewa dawa ambazo haziwasaidii kwa kuwa hospitali hazina uwezo wa kununua dawa ,
Tunakoelekea serikali naishauri
1) Ifumue uongozi wa Bima kwa chelewesha claim za Za Madeni
2) Wananchi wengi mpaka sasa wa Bima za afya, na tunakoelekea wengi 70% watakuwa na Bima, Hapa ndio afya inaenda kufa, ikitaka wainusuru wahakikishe claim zinalipwa mapema
3)Kuwepo na Taasisi itayoweza kusimamia Mifuko ya Bima ikiwemo mifuko Mingine
3) Waruhusu Hata Mifuko Mitatu ya Bima atleast kuwepo na competition
4)Kama Serikali ndio Msimamizi Mkuu Basi tuendako ajiandae kulaumiwa kwa kushindwa kusimamia
5)Claim za Malipo zilipwe mapema ndani ya mkataba
Ni kweli kuna mapungufu hayo. Lakini ukilinganisha na miaka ya nyuma, kwa sasa wanawaisha sana. NHIF kwa sasa ni mkombozi wa hospitali Tanzania. Kuwa fair ina uongozi mzuri sana, hususani DG Konga. Shida yao kubwa iko kwenye monopoly ambayo imekosa regulator.
 
Uliwahi kuyasema haya au ulikuwa unasifia tu kila kitu
mwaka 2015 swali pekee katika mdahalo wa wagombea lililohusu afya kutoka mitandaoni liliulizwa nami.
swali hilo lilihusu bima ya afya kwa wote.
 
Ni kweli kuna mapungufu hayo. Lakini ukilinganisha na miaka ya nyuma, kwa sasa wanawaisha sana. NHIF kwa sasa ni mkombozi wa hospitali Tanzania. Kuwa fair ina uongozi mzuri sana, hususani DG Konga. Shida yao kubwa iko kwenye monopoly ambayo imekosa regulator.
Unachosema uko sawa Mkuu kutokana kipindi cha nyuma ,jaribu kuangalia mambo kadha
👉kipindi cha nyuma wanachama walikuwa wachache
👉Maendeleo ni kutoka hatua moja kwenda nyingine hivo hatua tuliyonayo tunatakiwa twende hatua kubwa kutokana na hali ,uanachama na uelewa kwa sasa
👉siyo kweli Hospitali zinapata shida sana katika uendeahaji kwa kuwa wanachama wa Bima ni wengi sana ukilinganisha cash ,hivyo kukoswa dawa Muhimu na vitendea kazi ,
👉 Bima wamekuwa wakilimbikiza Madeni kwa mda mrefu 6month ,wewe unategemea hiyo hospitali inatoa wapi pesa za kuhudumia wananchi ukizingatia kuna watoto , wazee na wajawazito bure,ukisikia hosp fulani huduma mbovu usijifanya kulalamika ni hali tu wahudumu na viongonzi hawasemi ukweli
👉Huyo Mkrugenzi kaja juzi alitakiwa awe mbunifu hasa kutatua swala la malipo na madeni hospitali zinazodai
 
NHIF wanaziogopa hospitali binafsi na za mashirika ya dini.wakizikata madai yao zinasitisha huduma na malalamiko yanarudi NHIF.Kwa upande wa hospitali za Serikali hakuna iliyotishia au kugoma kutoa huduma ukiondoa MNH.
 
Ni muhimu ulipaji ufanyike kila mwezi na sio miezi mitatu.
Suluhu ya mfuko huu ni sheria rasmi ya bima ya afya kwa wote.
Jiwe alikuwa anakomba hela za mifuko yote ili akajengee madaraja , amerudisha nyuma mno watoa huduma ambao ni washirika wa NHIF
 
Jiwe alikuwa anakomba hela za mifuko yote ili akajengee madaraja , amerudisha nyuma mno watoa huduma ambao ni washirika wa NHIF
huna evidence ya hilo acha kuropoka.Hamjui mnachotaka waache CCM wawaletee mambo mazuri ninyi ni wasindikizaji tu
 
Back
Top Bottom