Madeni ya TALA na Branch

Jamani Mimi nimekopa pesax 135000 sasa nimekwamwa awamu hii sijui nitafanyaje pia ni mteja wao mwaminifu sana mana nawalipaga Kwa wakati ila Kwa sasa Sina fedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…