Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

huo ni ugoro mtupu hv unauhakika baba ako hajawah kukopa au hujalelewa na baba ww!!?mkuu shukuru km ww unajiweza ila usianze kuleta maneno ya kifedhuli au ndio MASIKIN AKIPATA MATAKO HULIA MBWATA
mbona unahasira ndugu. Calm down. Kanywe maji utulize joto kidogo.
 
MAELEZO MENGI UNAMALIZA BANDO TU...

DAWA YA DENI KULIPA... FULL STOP.
 
Wao hawakopi. Biashara zao ndio zinakopa. Biashara ni entity inayojitegemea.
Hapa unakimbia kijanja. Biashara ni identity ndio ila nakopa kwa sababu najua biashara itarejesha.

By the way wewe si ni mtanzania? Ujue kuna deni la nchi. T za kutosha. Usiache kulipa kodi tulipe madeni.
 
Asante sana Mkurugenzi kwa uzi huu na ushauri huu Bora na wa muhimu sana.
 
Mkuu unakumbuka ulivyokula pesa yangu na kunidanganya kuhusu sumaku ya kunasa wateja na ukaseti matangazo na hayakuwa na impact?
 
kwa hiyo mkuu ulipigwa?
Naam, jamaa anasema yeye ni mtaalamu wa kuset matangazo ya facebook na instagram kwa mbinu yake ambayo ni yasiri, mwenyewe anaiita sumaku ya wateja mtandaoni. Aloo nilipoteza pesa nyingi kwenye promotion nikaishia kupokea simu za wabongo wanaouliza tu na wanunuzi kiduchu.

Nikaona huu ni ujinga, nikatengeneza bango kubwa la 3D mbele ya duka sasa navuna wateja wengi.

Huyu mwamba alinisomesha kitabu, akaniunga kwenye group lake akanilipisha ada ya service nikaamini nakuwa tajiri kwa kuongeza mauzo ndani ya mwezi mmoja kilichonikuta ni kitu kizito sana.
 
INASIKITISHA SANA, KAKUFANYA WEWE FURSA
 
Mkuu unakumbuka ulivyokula pesa yangu na kunidanganya kuhusu sumaku ya kunasa wateja na ukaseti matangazo na hayakuwa na impact?
Inabidi ujitambulishe kwanza nipate kukufahamu. Sijawahi kuwa na mteja anayeitwa vichekesho. Ikisha ueleze wazi exactly nimekutapeli vipi. Kama nimekudhulumu, nikurudishie haki yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…