Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

Asante sana
 
Kwanini usizalishe hela zako mwenyewe. Unashindwaje kutafuta hela zako mwenyewe hadi upande mgongo wa mtu mwengine?
Kiuchumi hili sio tatizo kutumia pesa za wengine au nguvubkazinya wengine kwa lengo la kuongeza tija.
Zingatia kutumia fedha za wengine katika namna itakayokufanya uoate faida nankuzirudisha kwa wakati
 
Ahadi ya kupata wateja haikutimia, ulitumia maneno ya ulaghai
Hujajibu maswali yangu sasa unabadilisha topic. Jibu maswali yangu. Wewe ni nani, unafanya biashara gani na elezea exactly nimekutapeli vipi.
 
Kiuchumi hili sio tatizo kutumia pesa za wengine au nguvubkazinya wengine kwa lengo la kuongeza tija.
Zingatia kutumia fedha za wengine katika namna itakayokufanya uoate faida nankuzirudisha kwa wakati
Nakubaliana na wewe kwa 100% ikiwa Unazungumzia business entity ya matajiri. Biashara zao ndio zenye kukopa sio wao. By definition tajiri hahitaji kukopa otherwise huyo sio tajiri.
 
Mkuu unakumbuka ulivyokula pesa yangu na kunidanganya kuhusu sumaku ya kunasa wateja na ukaseti matangazo na hayakuwa na impact?
Nilijua tu yaani,

Kuna mahali niliona kaweka link ya hiyo tovuti yake, eti anafundisha jinsi ya kuingiza hela mtandaoni

Kumbe ni sales funnel tu ya kuuza kozi,

Ni bora kuwa jambazi kuliko kuwa grifter kama hivi

Na hapa hata hajongelea kitu cha maana, ni mbinu ambazo mtu yeyote anaweza kuzifikiria

Red flags zipo kama zote;

Anaweka timer ya offer kuisha ndani ya muda mfupi ili ujisajili haraka


Testimonials za mchongo ili umuamini


Anataka ujisajili apate email yako aanze kuku-upsell mambo mengine akupige hela


Eti hivi vyombo vya habari vimem-feature😆
 
Asante mkuu,ni huyu. Chukueni tahadhari ndugu.
 
Hujajibu maswali yangu sasa unabadilisha topic. Jibu maswali yangu. Wewe ni nani, unafanya biashara gani na elezea exactly nimekutapeli vipi.
Wewe ni tapeli, umenitapeli kwa kuniuzia course useless na kunisetia matangazo ambayo hayajaleta matokeo kama ulivyo niahidi. Sumaku ya kunasa wateja mtandaoni ni mradi wa kitapeli, chukueni tahadhari.
 
Wewe ni tapeli, umenitapeli kwa kuniuzia course useless na kunisetia matangazo ambayo hayajaleta matokeo kama ulivyo niahidi. Sumaku ya kunasa wateja mtandaoni ni mradi wa kitapeli, chukueni tahadhari.


Tunaishi dunia ya ajabu kama kutoa kozi 4 bure imekuwa utapeli.

Kwa vile unapenda kunifanyia marketing naomba uende na channel yetu ya YouTube ushare screenshot mahojiano ya wanafunzi wetu.


View: https://www.youtube.com/playlist?list=PLLOg8s26qj-YMos8or0O428soi_z0Poa8
 
Wewe ni tapeli, umenitapeli kwa kuniuzia course useless na kunisetia matangazo ambayo hayajaleta matokeo kama ulivyo niahidi. Sumaku ya kunasa wateja mtandaoni ni mradi wa kitapeli, chukueni tahadhari.
Kama kuniita tapeli itakupa usingizi mnono usiku hakuna shida. Endelea kuniita hivyo.
 
Makampuni sawa tu

Ila huyu anauza kozi za kuingiza hela mtandaoni, ni tapeli.
 
Ongezea: mikopo ya bank unazuia watu kuzaliana,. Mdaiwa hana hamu ya kufanya mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…