Madeni Yanakutia Stress? Fanya Hivi...

Mungu akubariki Doctor, huwezi jua kupitia hili somo umeokoa watu wangapi. Ahsante sana.
 
Thank you na Ubarikiwe. Hamna stress ya maana kama hiibya madeni. Mungu atuvushe na atupe kibali cha kuyamaliza tuwe huru
 
Thank you na Ubarikiwe. Hamna stress ya maana kama hiibya madeni. Mungu atuvushe na atupe kibali cha kuyamaliza tuwe huru
Amin. Kweli deni inawamaliza watu.
 
Asante sana kwa makala hii
Niliwahi fatilia pia kwa Joel the same mada
Kupunguza kwa madeni ni commitment ambayo inasaidia kuongeza servings crearivity na investment
Nitaendelea ku practice ushauri huu
 
Asante sana kwa makala hii
Niliwahi fatilia pia kwa Joel the same mada
Kupunguza kwa madeni ni commitment ambayo inasaidia kuongeza servings crearivity na investment
Nitaendelea ku practice ushauri huu
Your welcome. Mr. Joel yupo vizuri sana.
 
Iwapo ukiwa sio mmoja wa kausha damu ushauri wako mzuri.
 
Madeni hayaepukiki ila sio yakuyaendekeza Mimi Nina madeni Hadi nakosa amani na mengine hayalipikii ila katika Uzi wako nimekuelewa Sana ila kiukweli ukiona mtu aliefanikiwa ndio anamadeni mengi mfano mo dewji yee ndio tajiri no moja ila ndio anaongoza kwa madeni hapa Tanzania mfano hata ukiangalia katika mataifa nchi inayoongoza kwa uchumi mkubwa mfano marekani ndio nchi inaongozs deni kubwa benk ya Dunia sema Cha msingi kitu unachokopa unakifanyia Nini kama kwaajiri ya anasa kitakudidikiza ila kwa ajiri ya biashara itakuinua japo hata biashara tunafanya kwa mikopo ila biashara zinskufa mastress kibao
 
Mi nilidhani World Bank na IMF zinakopesha nchi masikini pekee, kumbe hata US naye anakopa humo? Hili jipya nitajifunza.
 
Bonge la mada Dr. Big up 🫡

Nimesoma almost coment zote but naona wengi wanaoshambulia nikuwa hawajui utofauti mkubwa wa Madeni na Mikopo.

Kwa ufupi,

Mkopo ni pesa mtu anaazima mahali fulani labda benki, kwa mtu binafsi, kikundi au taasisi nk kwa matarajio ya kukidhi mahitaji yake na baada ya muda flani wa makubaliano kurudisha kiasi hicho labda kikamilifu au na riba kadhaa.

Deni ni Mkopo uliopita muda wa malipo mfano umeambiwa urudishe mkopo wako tarehe 27.11.2024 ikifika 28.11.2024 hujarudisha hilo ni deni.

Madeni ndio yanayozungumziwa hapo kwenye topic tajwa na sio mikopo, matajiri wengi mnaowataja kama Bakhresa na Mo na nchi kama marekani wanamikopo sio madeni. Mean wapo katika muda sahihi.

Mikopo haina shida kamwe lakini ikifika hatua ya madeni hilo ni tatizo tayari. Na hapa tunafundishwa namna ya kuepukana na madeni.

Shuhuda.

I was among ya watu waliosumbuliwa na madeni miaka ya 2019 to 2022 kupitia kitabu cha Joel nilijifunza hatua kadhaa nikazifanyia kazi zimefanana na za Dr Saidi kwa sehemu zimeniwezesha kuepukana na madeni, nowadays nachukua mikopo kiasi kwa ajili ya kukuza Biashara na kurejesha na najihusisha na mikopo yenye riba nafuu zaidi.

Asanteni
 
Nina miaka saba kazini lakini sioni pesa kila ninapo pata mshahara... naishia kweny madeni tu. Adii nimejiingiza kwenye mikopo ya kausha damu na kubeti ... naomba msaada
 
Nina miaka saba kazini lakini sioni pesa kila ninapo pata mshahara... naishia kweny madeni tu. Adii nimejiingiza kwenye mikopo ya kausha damu na kubeti ... naomba msaada
Ndo mana kuna neno KUKOPA na DENI sasa wanataka tusidaiwe ili? Tuishauri inchi bas na yenyewe iache kukopa
 
Aah maoni mazuri sana,nimechelewa Nina miaka 56sasa,! Acha nitumbue tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…