Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kinachowatoa lock down ni anguko la uchumi mkuu au hukumsikia trump akisema uchumi umeharibika vibaya?yuzazifu,
Sasa mzee sehemu ambazo maambukiz yamepungua wanalegeza mashart ya lockdown huku maambukizi ndio kwanza yamepamba moto, dunia itakapokuwa wazi sisi tutafungiwa kwenda nchi yeyote mpaka tupitie hizo phase walizopita wengine na wajiridhishe kuwa hakuna maambukizi, sawa lockdown sio nzuri lakin kama haifanyi lockdown unafanya nini ? whats the alternative. Upuuz ni kudhan hawa wanavyolegeza lockdown ni mambo yamewashinda wanataka kuwa kama sisi sio kweli sisi hatujakaa lockdown na maambukiz yanazid kusambaa, wakuu muwe mnafikiria kidogo, watu wanakufa sana na healthy system zina jam saivi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi madereva wa malori wana nini lakini? Kwenye VVU wamo, wanaitwa kundi hatarishi. Haya kwenye Corona tena ndio hivyo. Wanakwama wapi?
Kuna jamaa yangu fulani kitambo alikua dereva lori, alikua akiniambia yaani kuanzia bandarini hadi mpakani alikua na mwanamke kila kituo au mji, na hao wanawake walikua na waume ambao waliwasubiri kwa ratiba.
Pia jamaa alikua anapiga hela sana kwa kubeba mizigo ya watu kisiri.
na soon mtaanza kumwelewa magufuli why aliwaita ikulu viongozi wa usalama na why alipima mpka mapapai na why anaongea kama kuna kitu kipo nyuma ya ugonjwa huu.Ndo maana hata ukimuona anaongelea hili swala unaona kabisa kwenye sura hayupo sawa kama kuna kitu anataka kukiongea ila anashndwa tu,ni swala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi but kuna jambo kubwa sana lipo nyuma la huu ugonjwa.Tuwe makini sana katika hili, tuwe makini katika kulifikiria, nimeanza kuhisi kuna kitu nyuma ya hili janga. Kuna ukweli umefichwa, kuna kitu dunia imefichwa.
Ila tukiweka itikadi pembeni, akili zitatumika kuna ambacho wengi hawajakiona.
Hapo nimeelewa vizuri. Kwa hiyo wanaambukizwa na machangudoa. Hatari sana hii.
Duh! Hiki kitu huko kwa majirani wameamua kushupaza shingo kabisa na kuamua liwalo na liwe, hata wakiathirika wote 100% hawataacha ukaidi.
Hii video ya Citizen TV inaeleza watano walivyopatwa na kirusi
https://www.jamiiforums.com/data/at...127_551249825536507_4504684119313777232_n.mp4
TANZANIA YATENGENEZA DAWA YA CORONAVIRUS INAITWA #NIMRCAFAcheni njaaa za umaskini chukua tahadhari, bado mnasongamaana kwenye mabaa, sasa mumefungiwa mipaka na majirani wote, kazi yenu kueneza kirusi tu.
Hebu ona Watanzania waliokwama mpakani Zambia, hawana hata barakoa wanataka kwenda kupeleka kirusi kwenye nchi ya watu.
Mumekua aibu Afrika hii
![]()
CIA wapo kuchunguza Corona,usalama wa Irani waliamua kuungana na taifa fulani kuchunguza ugonjwa huu lakini TISS ya Tanzania imeamua kuchunguza watu wamepokea katika hisia ambazo hawakuwaza sana.na soon mtaanza kumwelewa magufuli why aliwaita ikulu viongozi wa usalama na why alipima mpka mapapai na why anaongea kama kuna kitu kipo nyuma ya ugonjwa huu.Ndo maana hata ukimuona anaongelea hili swala unaona kabisa kwenye sura hayupo sawa kama kuna kitu anataka kukiongea ila anashndwa tu,ni swala la muda tu kila kitu kitakuwa wazi but kuna jambo kubwa sana lipo nyuma la huu ugonjwa.
toka alipotoa tu hutuba yake nilimwelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali kama korona siyo upumbavuu ? Kwanini dalili pekee kwa wagonjwa wengi wanaopimwa bila ya kuumwa na kukutwa na korona ni kipimo tu hadi wananaambiwa wamepona ni kipimo ndiyo hua dalili pekee ,yaani MTU uhumwi kitu chochote toka upimwe na kuambiwa unayo korona hadi unakaa hospitalini mwezi mzima bila kuumwa na kupimwa tena na tena hadi wanakuambia umepona tayari bila hata kujisikia tatizo lolote kiafya isipokua dalili PEKEE NI KIPIMO KUKUKUTA NA KORONA !!!??? ndiyo maana nasema kupimapima ni ujinga isipokuwa kwa wanao nakuwa na tatizo kiafya ndiyo wapimwe kama ni korona inawasumbua overAcheni njaaa za umaskini chukua tahadhari, bado mnasongamaana kwenye mabaa, sasa mumefungiwa mipaka na majirani wote, kazi yenu kueneza kirusi tu.
Hebu ona Watanzania waliokwama mpakani Zambia, hawana hata barakoa wanataka kwenda kupeleka kirusi kwenye nchi ya watu.
Mumekua aibu Afrika hii
![]()
Swali kama korona siyo upumbavuu ? Kwanini dalili pekee kwa wagonjwa wengi wanaopimwa bila ya kuumwa na kukutwa na korona ni kipimo tu hadi wananaambiwa wamepona ni kipimo ndiyo hua dalili pekee ,yaani MTU uhumwi kitu chochote toka upimwe na kuambiwa unayo korona hadi unakaa hospitalini mwezi mzima bila kuumwa na kupimwa tena na tena hadi wanakuambia umepona tayari bila hata kujisikia tatizo lolote kiafya isipokua dalili PEKEE NI KIPIMO KUKUKUTA NA KORONA !!!??? ndiyo maana nasema kupimapima ni ujinga isipokuwa kwa wanao nakuwa na tatizo kiafya ndiyo wapimwe kama ni korona inawasumbua over
Send by APOLO 1