Madereva: Habari za barabarani leo?

Madereva: Habari za barabarani leo?

No Escape

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2016
Posts
6,663
Reaction score
7,785
Uzi huu uwe maalum kwa madereva na wasafiri kujua hali ya barabara ni haki yenu kabla ya kuanza safari ya huko uendako.Tupashane yanayojiri ili tuweze kusaidia safari zetu. Unatarajia kuelekea wapi saa hizi, unahitaji kujua hali ya barabara kama labda kuna changamoto yeyote saa hizi ili kuepusha yale yaliyo ndani ya uwezo wetu. Mimi saa hizi najiandaa kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma.
 
Dar es salaam Kwenda Dodoma
Safari Njema Kwako, Funga Mkanda
 
Back
Top Bottom