ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Tukiwa tunasubiri gari ya Kivukoni stendi ya Kimara terminal leo Ijumaa Mida hii saa 7:50. limekuja gari la Kivukoni Express likasimama sehemu ya mabasi ya gerezani badala ya sehemu yake ya kivukoni.
Abiria tukakimbilia kutaka kupanda cha ajabu baada ya idadi ndogo ya watu kupanda na abiria wengine wakikimbilia kutaka kuingia dereva akafunga milango na kuondoka na abiria hao wachache akituacha watu tukishangaa.
Hii sio fair kwa kweli, hasa kwa siku yenye changamoto ya usafiri kama leo na pia hapa ni mwanzo wa gari dereva unakimbilia wapi?
Baadhi ya madereva udart mnatunyanyasa jirekebisheni.
Abiria tukakimbilia kutaka kupanda cha ajabu baada ya idadi ndogo ya watu kupanda na abiria wengine wakikimbilia kutaka kuingia dereva akafunga milango na kuondoka na abiria hao wachache akituacha watu tukishangaa.
Hii sio fair kwa kweli, hasa kwa siku yenye changamoto ya usafiri kama leo na pia hapa ni mwanzo wa gari dereva unakimbilia wapi?
Baadhi ya madereva udart mnatunyanyasa jirekebisheni.