CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Aisee nchi ilifika pabaya,watumishi wa uma wanajiona Miungu watu.Inabidi uwaombe wasiichane mkuu na inategemea na unayemuomba ,uelewa wake!
Hivi wakiisha ichana wanakupa ama wqnatupa kwenye bin?.