ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Utamkumbuka ww na shangazi zako, kwaiyo iyo kero ya hao majinga ya mwendokasi imeanza leo
Kisha ikawaje mkuu? Ukinijibu nitakuwa nimejua jinsia yakoHawa jamaa wanahitaji elimu ya kumjali mteja(customer care)kuna siku nilikuwa natoka Dodoma, nikawa namuuliza dereva nikiwa na ticketi ya kwenda Manzese ili nijue kama ndo basi natakiwa kupanda.Wakati namuuliza huku nimeshikilia tiketi akaichukua mkononi na kuichana!
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Mitano tenaUtamkumbuka ww na shangazi zako, kwaiyo iyo kero ya hao majinga ya mwendokasi imeanza leo
Mimi ni Mwanaume jinsia yangu.Ikabidi anijibu ndio hilo bahati nzuri,inabidi nipande humo!Kisha ikawaje mkuu? Ukinijibu nitakuwa nimejua jinsia yako
mkumbuke wewe na mataga wenzako
Alijua wa mkoani ndo maana akaichanaMimi ni Mwanaume jinsia yangu.Ikabidi anijibu ndio hilo bahati nzuri,inabidi nipande humo!
Kwa kweli tutamkumbuka Kwa aina hizi za Madereva vichaa aliotuachia.
Hapana ndugu mawazo yake tuu mabovu,nilifanyakazivmiaka 5 Dar na huko wako wazazi wangu!Alijua wa mkoani ndo maana akaichana
Ningekuwa na ID yako, kwanza angekula vibao 2 vitakatifu ndio natoa ID.Wahuni sana hawa madereva,walishawahi kunibana kiwiliwili changu na mlango wa basi,kisa nimechelewa kupanda,nikaenda kwa dereva akanitunishia msuli,akafoka kweli kweli,nikatoa ID yangu,alikua mpole kama proton,na samahani zakutosha! Nikasema isiwe tabu,nikamwacha
Hahaha huo ndio utararibu wenzako ticket inachanwa ndio unapanda hizo Basi ....huu mradi unajifia vibaya Sana...Mimi ni Mwanaume jinsia yangu.Ikabidi anijibu ndio hilo bahati nzuri,inabidi nipande humo!
Hivi kama nauli unalipiwa na kampuni ila unatakiwa Kupeleka ticket utafanyeje na imechanwa.Hahaha huo ndio utararibu wenzako ticket inachanwa ndio unapanda hizo Basi ....huu mradi unajifia vibaya Sana...
Hao madereva wanajisikia utafikiri wanaendesha ndege utakuta hata kama unajaribu kuniulizia swali kuhusu hilo gari la luti ipi kimara au morocco halikujibu utakuta limenuna utafikiri limelishwa mavi asubuhi na mke wakeHahaha huo ndio utararibu wenzako ticket inachanwa ndio unapanda hizo Basi ....huu mradi unajifia vibaya Sana...
Kwakweli angekuwepo hawa wafanyakazi wangekuwa na nidhamu na bei ya vitu isingepanda.Mungu aendelee kumpumzisha kwa amani shujaa wa Afrika.Kwa kweli tutamkumbuka Kwa aina hizi za Madereva vichaa aliotuachia.
He was indeed good for nothing.
Ni fair, hawa jamaa hawajalipwa mishahara na wana familia, si mmeipa CCM ushindi wa 98% , nendeni lumumba mkawadai si kuja hapa kulia lia.Tukiwa tunasubiri gari ya Kivukoni stendi ya Kimara terminal leo Ijumaa Mida hii saa 7:50. limekuja gari la Kivukoni Express likasimama sehemu ya mabasi ya gerezani badala ya sehemu yake ya kivukoni.
Abiria tukakimbilia kutaka kupanda cha ajabu baada ya idadi ndogo ya watu kupanda na abiria wengine wakikimbilia kutaka kuingia dereva akafunga milango na kuondoka na abiria hao wachache akituacha watu tukishangaa.
Hii sio fair kwa kweli, hasa kwa siku yenye changamoto ya usafiri kama leo na pia hapa ni mwanzo wa gari dereva unakimbilia wapi?
Baadhi ya madereva udart mnatunyanyasa jirekebisheni.
Kitambulisho kilisaidia nini badala ya kumzaba kibao huoni alitaka kukuua mkuu[emoji3]Wahuni sana hawa madereva,walishawahi kunibana kiwiliwili changu na mlango wa basi,kisa nimechelewa kupanda,nikaenda kwa dereva akanitunishia msuli,akafoka kweli kweli,nikatoa ID yangu,alikua mpole kama proton,na samahani zakutosha! Nikasema isiwe tabu,nikamwacha
Inabidi uwaombe wasiichane mkuu na inategemea na unayemuomba ,uelewa wake!Hivi kama nauli unalipiwa na kampuni ila unatakiwa Kupeleka ticket utafanyeje na imechanwa.