pachawako
Senior Member
- Mar 30, 2024
- 120
- 315
Habari wana JF.
Nimehamasika fungua huu uzi baada ya kukoswa koswa leo na ajali, barabarani kweli kuna mengi na nisehemu inayobeba roho za wengi. Ukiwa umekosea step kidogo tu kuna uwezekano wakubadiri au kumaliza historia ya maisha yetu au ata kuharibu vyombo vyetu tunavyo vipata na kuvitunza kwa ghalama kubwa.
Naomba ukiwa na swali kuhusu sheria za barabarani au kuhusu chombo chako chochote uliza tuweze kupatiana maarifa zaidi.
Nimehamasika fungua huu uzi baada ya kukoswa koswa leo na ajali, barabarani kweli kuna mengi na nisehemu inayobeba roho za wengi. Ukiwa umekosea step kidogo tu kuna uwezekano wakubadiri au kumaliza historia ya maisha yetu au ata kuharibu vyombo vyetu tunavyo vipata na kuvitunza kwa ghalama kubwa.
Naomba ukiwa na swali kuhusu sheria za barabarani au kuhusu chombo chako chochote uliza tuweze kupatiana maarifa zaidi.