tochi ziko maporini.hivi kwanini mijini hamna tochi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tochi ziko maporini.hivi kwanini mijini hamna tochi?
Mjini pana tochi by default. Ukitembea zaidi ya 50 popote ni bao kwa kwenda mbele..hivi kwanini mijini hamna tochi?
fine zimekuwa nyingi mno kwa sasaMjini pana tochi by default. Ukitembea zaidi ya 50 popote ni bao kwa kwenda mbele..
Camera inachukua picha mbali x3 ya 500 m utakua umeingia cha kike tayari cha msingi tii sheria bila shuruti, kumbuka ukipata ajali anayejeruhiw,kufa au chombo kuharibika kunakuhusu wewe Zaid na si Polisi.Wakuu,
Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.
Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.
Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.
Nice holidays
Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Usiige tembo kunya,utapasuka msamba.Traffic wenyewe hawazingatii hizo alama,
Usijute lkn litakapokutokea la kukutokea.Inaonekana iko vizuri nimeshaipakua nitaleta mrejesho.ubarikiwe sana
Mkuu polisi wa barabarani kwa sasa wanakera bora kujiepusha naoUsiige tembo kunya,utapasuka msamba.
sijahamasisha kutokufuata sheria za barabarani...Camera inachukua picha mbali x3 ya 500 m utakua umeingia cha kike tayari cha msingi tii sheria bila shuruti, kumbuka ukipata ajali anayejeruhiw,kufa au chombo kuharibika kunakuhusu wewe Zaid na si Polisi.
Hiyo app km uta install manake ni ili ikusaidie kuvunja sheria na hapohapo kukwepa mkono WA Sheria.sijahamasisha kutokufuata sheria za barabarani...
Hiyo ni kutokana na makosa kua mengi mno.fine zimekuwa nyingi mno kwa sasa
Mjini gani...nenda mbezi na speed 70 au pita Daraja la Kigamboni na speed 40 halafu ulete mrejesho hapa jamvinihivi kwanini mijini hamna tochi?
Wanafanya maksudi kabisa.Ha ha nasikia kunamchezo as kutoa vibao vya alama za bara barani ili watu wapigwe faini vizuri. Jaman kuwen makini sana
Sasa hii inajuaje kua hawa wa tochi wako sehemu gani maana hawa jamaa wakawaida kuhama hama sehemu za kutega mingoInatumia GPS na sio internet
Labda ulaya sio Tanzania yetu hiiNi kweli kamera za polisi ziko connected na GPS?