Ziko kwenye GPS ndiyo maana wanaweza kupiga picha na kuzituma kwa mtu mwingineKwa bongo ha apply kabisa...labdda ungesema izo speed torch za trafic nazo wawe wanatumia gps...road zetu nyngng hazijakua updated na details zote pili trafic bongo hawaeleweki unaeza amka asubuhi ikakuta ametesha tochi getini kwako hawana sehemu maalum...kama mtu anapanda juu ya mti sasa hiyo software itamuonaje?
inaonyesha move zote, na inaonyesha muda ambao trafic wenye walipokiwepo.Sasa hii inajuaje kua hawa wa tochi wako sehemu gani maana hawa jamaa wakawaida kuhama hama sehemu za kutega mingo
jaribu mkuu asubuhi nimeijaribuLabda ulaya sio Tanzania yetu hii
Umbea tu huo km huna hoja bora unyamaze tu.Ha ha nasikia kunamchezo as kutoa vibao vya alama za bara barani ili watu wapigwe faini vizuri. Jaman kuwen makini sana
Hiyo haisaidii kabisa,utakuja kutupa mrejesho hapa utakapokamatwa kama kuku wa kisasa.Imetulia safi sana tutapumua sasa... Maana jambo huzimwa kwa jambo..!
Bwihi..! Bwihi..!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu utakuwa traffic wewe. Umbea gani akati ndio uhalisia. Kunasehemu ilikuwa poa sana na tulikuwa tunapigwa faini daily. Kumbe kulikuwa hakuna kibao. Vikawekwa vibao bhana. Within one month vyote viko chini na jamaa washarudi. Yaani mtu inapigwa faini ya 50kph sehemu uloyo rihusiwa 80 kphUmbea tu huo km huna hoja bora unyamaze tu.
Hasa hii njia ya dar kwenda morogoro. Safari huwa fupi sana kwa usiku.Dawa kusafiri usiku kwa usiku
Wewe utakuwa shabiki wa man u au arsenal au simba. Hizi sio akili za binadam.Wakuu,
Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.
Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.
Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.
Nice holidays
Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Barikiwa kaka jioni ntakucheki upate bapa moja la lukeselo baridi sanaWakuu,
Msimu huu wa sikukuu nimeona baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.
Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.
Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.
Nice holidays
Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Go setting ina mpaka recordingInafanyaje kazi hii. Inapiga alarm ukikaribia au inafanyaje?
Nimeiwasha jana wakat natoka Mbagala kuja Tabata. Aisee kila sehem ambapo iliwahi kuwekwa Torch hata kama ni zamani, hii inadetect. Lakini hii ya kwangu mbona inaonyesha 60kph muda wote? Nimekosea settings?Go setting ina mpaka recording
Nimeiwasha jana wakat natoka Mbagala kuja Tabata. Aisee kila sehem ambapo iliwahi kuwekwa Torch hata kama ni zamani, hii inadetect. Lakini hii ya kwangu mbona inaonyesha 60kph muda wote? Nimekosea settings?
Lakini wakat unaendeaha highway, simu utakua umeiweka wapi ili uwez kuangalia, au gari lako liwe na GPS?
yote kwa yote inasaidia kutoa alert ili dereva apunguze mwendo
Hapo unaangalia ipi iko active! Inakuonyesha, angalia dakika za hiyo camera! Hao jamaa wanamoveNimepakua ipo poa sana hapa nilipo inanionyesha kuna jumla ya camera 3 hapa nipo morogoro kuna camera kabla ya kufka moro kutoka dar nyingne ipo kuelekeaa mbeya kutoka moro nyngne kuelekea dom
Hahaha ngoja hii mada ionwe na mamlakaNimepakua ipo poa sana hapa nilipo inanionyesha kuna jumla ya camera 3 hapa nipo morogoro kuna camera kabla ya kufka moro kutoka dar nyingne ipo kuelekeaa mbeya kutoka moro nyngne kuelekea dom
Ngoja niangalie kakaHapo unaangalia ipi iko active! Inakuonyesha, angalia dakika za hiyo camera! Hao jamaa wanamove