Madereva pitieni hapa kuepuka fine za overspeed na speed camera

Inaonekana iko vizuri nimeshaipakua nitaleta mrejesho.ubarikiwe sana
App ina detect kamera kwa umbali wa nusu kilometer wakati kamera inaweza kunasa gari umbali wa kilometer 2. Hiyo akili au matope? Kifupi hiyo app siyo effective, maana inazidiwa hata na uwezo wa uoni wa macho. Bora kufuata alama za barabarani.
 
App ina detect kamera kwa umbali wa nusu kilometer wakati kamera inaweza kunasa gari umbali wa kilometer 2. Hiyo akili au matope? Kifupi hiyo app siyo effective, maana inazidiwa hata na uwezo wa uoni wa macho. Bora kufuata alama za barabarani.
Hamna tochi inayoenda 2km labda iniambie wanatumia technoljia gani is it bluetooth? Infrared? Au rays gani? gani kudetect? Physics yangu inakataa kabsa...
 
Kama ni kweli kuwa app. inakukumbusha kupunguza mwendo kuepuka hatari ya kutozwa faini itakuwa inavizidi vibao vya speed elekezi kwa alama za barabarani.

Naamini hata polisi wataipenda na kuiunga mkono, POTELEA MBALI TRA WAKINUNA.
 
App ina detect kamera kwa umbali wa nusu kilometer wakati kamera inaweza kunasa gari umbali wa kilometer 2. Hiyo akili au matope? Kifupi hiyo app siyo effective, maana inazidiwa hata na uwezo wa uoni wa macho. Bora kufuata alama za barabarani.
Hakuna torch ya Km2 wewe hata ulaya.
 
Tuchukue taadhari madereva wengi ni nyoka nyoka sana,na wanafanya mambo ya ajabu barabarani,tuanagalie maisha yetu na watumiaji wengine wa barabara.
 
Ziko kwenye GPS ndiyo maana wanaweza kupiga picha na kuzituma kwa mtu mwingine
Sizan kama gps ina uwezo wa kutuma multimedia otherwise kwny sim ungekua hutumii ip tena ku share ma files..unawasha tu gps unatuma mzigo....maana yake tu ni global position system...una receive signal tu.
 
Sasa hizo tochi mbona zina kamata umbali mkubwa zaidi ya hii app. Kama sijakosea hizo tochi zina uwezo wa kuditect umbali hadi kilometa nne.
Ila kuwe na clear LS myb
 
Hapa kazi tu
 
Siku hizi nikiwa naenda zangu home Mby natoka saa Tisa/10 kunakucha nipo ruaha Mbuyuni naanza kupambana na wa Iringa huku Moro Pwani ni kutembea saaana😕 By the way kuna kifaa kinaitwa Speed Trap detector (HICHO PICHANI) hicho aka'e kwenye shimo, juu ya msunobari,kwenye karavati au vichakani au popote utamjua tu!
 

Attachments

  • image2.JPG
    21.9 KB · Views: 113
Sasa nguvu yote hii ni ili ukimbize gari tani yako,

Maisha yako yanaweza kuwa hayana maana, ila lami yetu kuichafua na damu ujue imetengenezwa kwa gharama sana[emoji124]
 
Kwa Madereva wote,
Awali ya yote habari zenu!!!
Heri ya krismasi
Sasa nije kwenye wito wangu, kutokana na katabia ka kujisahau kutii sheria za barabarani na kujikutana tunapigwa fine huku hali ya uchumi mifukoni mwetu ni tete fanya hivi:
chukua simu yako download website hii: " sygic speed camera" maelezo yote utayapata hapo kwa ufupi hii itakufahamisha wapi pana camera, zebra cross, pindi unapoendesha gari, kabla hawajakuona trafiki wee tayari umeshawaona kwenye simu yako.
Krismasi njema,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…