Madereva tupeane mbinu za kuchomoka hapa

Madereva tupeane mbinu za kuchomoka hapa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
CCDA2DC1-4EFD-4162-8592-D7DB51EFC8A5.jpeg
 
Unaweza kufika hapo ukakuta huyo Mwenye gari ndio kawakusanya Wazee anawapa mastori ya mjini "Jamaa alikuwa kwenye room na mademu hao..." na Wazee wanamalizia "Watatu" huku mmoja wao akichagiza "k..m...make"
 
Ilinikuta hiyo situation pale kibiti halafu ilikua kipindi kile kibiti kuna matukio.. Dah sitosahau [emoji848]
 
Back
Top Bottom