Madereva tupeane mbinu za kuchomoka hapa

Unaweza kufika hapo ukakuta huyo Mwenye gari ndio kawakusanya Wazee anawapa mastori ya mjini "Jamaa alikuwa kwenye room na mademu hao..." na Wazee wanamalizia "Watatu" huku mmoja wao akichagiza "k..m...make"
 
Ilinikuta hiyo situation pale kibiti halafu ilikua kipindi kile kibiti kuna matukio.. Dah sitosahau [emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…