Madereva wa Bodaboda: Mazuri na vituko vyao

Madereva wa Bodaboda: Mazuri na vituko vyao

Kuna mmoja namjua vizuri tu nae ananifaham, sasa siku moja nashuka na pikipiki kutokea stendi kuu ya Arusha nikaona jamaa kaniovateki mbio na pikipiki yake inapiga kelele hatari kama baruti..., sasa kwa kuwa na mimi nipo vizuri kwenye pikipiki nikaunga nae ili nione mwisho wake.

Tumeenda wee akageuka akaniona nipo nyuma yake akaanza kufanya sifa, mara apige moshi tatu tatu, mara aachie stelingi ilimradi tu ananioshea. Sasa alipokaribia roundabout ya samunge akalala kwenye pikipiki huku ipo mwendo.... Ile anataka ainuke akunje kona kwenye hiyo raund about kofia la sweta yake likawa limevaa kwenye keria ya pikipiki 😅
Kitendo cha dakika sifuri jamaa alfurukuta pale kwenye pikipiki lakini kofia likawa halijaachia na ndio yupo kwenye kona... Kilichotokea alipandia yale maua pale kwenye mzunguko wa barabara akaanguka humo lakini hakufa wala hakuumia sana
 
Hao sio wa kuwafikisha home,wizi maeneo mengi Dar,hao ni wachora ramani...hasa wizi wa flat...hakikisha anakushusha mita kadhaa toka kwako,wasipafahamu.
Ukiwa na gari,ukagonga mmoja,kimbia,...watakushambulia na kukuua hata kama wao wanakosa,wanaushirikiano wa kijinga sana,usipende wakuzoee...labda kama unamfahamu vzr.
 
3. Siku hizi wakipewa tu hizo bodaboda za mikataba, wanazitoa zile side mirrors (sight mirror 🙄)!! Sasa sijui huwa wanawaza nini hawa viumbe, kuendesha pikipiki bila ya hivyo vioo vya pembeni!

4. Kuweka vyuma kwenye lile bomba la kutolea moshi, halafu pikipiki inatoa mlio mkubwa kuliko! Yaani wakipita sehemu ni kero tupu!

NB: Ukiona bodaboda kanyoa kiduku, hajavaa helmet, pikipiki yake haina side mirrors, pikipiki yake ina makelele kupitiliza akivuta mafuta, na pia anapenda kuning'iniza kandambili/yeboyebo za kimguu chake cha kushoto aendeshapo hiyo bodaboda yake! Kamwe usijaribu kupanda kama una akili timamu.
Hii ya kuning'iniza Yebo kumbe ni nchi nzima. Ndio Fashion yao
 
Hii ya kuning'iniza Yebo kumbe ni nchi nzima. Ndio Fashion yao
Ukiwakuta wamening'iza yebo za mguu wa kushoto, halafu wanakaa upande! Huku wakiwa wamevaa kaptula na tshirt!

Hapo huwaambii kitu. Unakuta haojue ya cc125 imefanyiwa marekebisho gani sijui! Inapiga kelele kama ile pikipiki kubwa ya cc 250!
 
Kuna mmoja namjua vizuri tu nae ananifaham, sasa siku moja nashuka na pikipiki kutokea stendi kuu ya Arusha nikaona jamaa kaniovateki mbio na pikipiki yake inapiga kelele hatari kama baruti..., sasa kwa kuwa na mimi nipo vizuri kwenye pikipiki nikaunga nae ili nione mwisho wake.

Tumeenda wee akageuka akaniona nipo nyuma yake akaanza kufanya sifa, mara apige moshi tatu tatu, mara aachie stelingi ilimradi tu ananioshea. Sasa alipokaribia roundabout ya samunge akalala kwenye pikipiki huku ipo mwendo.... Ile anataka ainuke akunje kona kwenye hiyo raund about kofia la sweta yake likawa limevaa kwenye keria ya pikipiki [emoji28]
Kitendo cha dakika sifuri jamaa alfurukuta pale kwenye pikipiki lakini kofia likawa halijaachia na ndio yupo kwenye kona... Kilichotokea alipandia yale maua pale kwenye mzunguko wa barabara akaanguka humo lakini hakufa wala hakuumia sana

tofauti yako na boda boda ni ipi sasa kama uliamua kumfukuza na unajua kabisa ni mpuuzi!!
 
Kuna mmoja namjua vizuri tu nae ananifaham, sasa siku moja nashuka na pikipiki kutokea stendi kuu ya Arusha nikaona jamaa kaniovateki mbio na pikipiki yake inapiga kelele hatari kama baruti..., sasa kwa kuwa na mimi nipo vizuri kwenye pikipiki nikaunga nae ili nione mwisho wake.

Tumeenda wee akageuka akaniona nipo nyuma yake akaanza kufanya sifa, mara apige moshi tatu tatu, mara aachie stelingi ilimradi tu ananioshea. Sasa alipokaribia roundabout ya samunge akalala kwenye pikipiki huku ipo mwendo.... Ile anataka ainuke akunje kona kwenye hiyo raund about kofia la sweta yake likawa limevaa kwenye keria ya pikipiki [emoji28]
Kitendo cha dakika sifuri jamaa alfurukuta pale kwenye pikipiki lakini kofia likawa halijaachia na ndio yupo kwenye kona... Kilichotokea alipandia yale maua pale kwenye mzunguko wa barabara akaanguka humo lakini hakufa wala hakuumia sana
Hivi moshi tatu ndio inakuaje?
 
Hao wanaoitwa vishandu wengi ni vibaka na wahuni.

Mimi ni Bodaboda na kiukweli najiheshimu sana mkuu,pia tupo wengi tu tunaojitambua,hao wafuga virasta,wavaa sendo ikiwa imening'inia kama imeshikwa na uzi na wavaa vipensi wengi wao hawana maisha ya maana huwa wamepewa deiwaka na wanatafuta hela ya kamari pamoja na bangi tu.

Ukitaka ufike salama na ufurahie safari yako tafadhali unaweza kunicheki ili niwe dereva wako na nakuhakikishia hutojutia safari yako.
 
Back
Top Bottom