Hakuna anayepigana Vita .Kenya imeweka protocols ambazo Lazima zifuatwe na madereva .Lakini Tanzania haina mipango yoyote ju kwenu Corona iliisha ....hatua ya kuzuia madereva wa Kenya Inaonyesha mmechanganyikiwa.They are what we call childish tantrumsHii ni vita kila Nchi apigane inavyoweza cha kushangaza kenya wanataka Tanzania wapigane kama wao kila siku wanaulizia mmepima watu wangapi.....ninyi kenya inawahusu nn mambo ya Tz, bora mipaka ifungwe tu kila mtu ale jeuri yake.
No Tanzanian shall be tested in Kenya, you need us, we don't need you, that is a fact.The Bottom line is that no Kenyan Authority will accept certificates from Tanzania as a proof of their drivers being negative.
Lazima wapimwe tena on the Kenyan side.Kama hawataki kupimwa wabaki kwao.Magufuli has exposed you so badly no one trusts covid Data from Tanzania.
Lazima Kenya mufuate vile Tanzania inataka, sisi hatupimi watu wetu na hatutaki muwapime huko Kenya, "nothing more nothing less" lazima mkubali vyeti vya Tanzania, otherwise there is nor a Kenyan who will cross to TanzaniaHakuna anayepigana Vita .Kenya imeweka protocols ambazo Lazima zifuatwe na madereva .Lakini Tanzania haina mipango yoyote ju kwenu Corona iliisha ....hatua ya kuzuia madereva wa Kenya Inaonyesha mmechanganyikiwa.They are what we call childish tantrums
Over 100 truck drivers on transit have been denied entry into Tanzania through the Kenyan border. Reason for this has not been said despite the fact that the one hundred plus drivers have been tested for COVID-19 and test results came back negative
“We have all been found without the Coronavirus and even have our test certificate that should allow us passage. But still the Tanzanian’s authorities at the border control have refused to let us drive through and deliver our cargo.” One Ali Oman lamented to the journalist
Despite having a valid COVID-19 pass from the Kenyan ministry of health, there still was no through way for these exhausted drivers. After staying at the border for close to a week with very poor living conditions like uncomfortable sleeping conditions, lack of some quality food, still they are denied entry. With some of them carrying very perishable products, they pleaded with the Tanzanian authorities to cross check their results or better yet, conduct another test on them if they are in doubt but all that fell on deaf ears
They are now left wondering why this could be happening yet the two East African States; Tanzania and Kenya have been on the verge of reconciling through the two leaders, Presidents John Pombe Magufuli and his Kenyan counterpart President Uhuru Muigai Kenyatta.
It is a matter of question whether the two leaders really ended their confrontations following disagreements on how to handle the pandemic in their own countries or not. Was it just a charade for the media when things on the ground are very different? This goes unanswered as drivers remain stranded with goods at the Kenyan-Tanzania border.
What are the authorities both from Kenya and Tanzania doing? “Nobody knows…”, according to one Henry Ochieng who is also a conductor in one of the trucks transporting petroleum. It is yet to be established whether authorities from both sides are really not willing to work together to beat the COVID-19 pandemic or are ready to put their differences aside with relation to counter approaches to the pandemic.
Meanwhile the situation is almost the same at the Kenya Uganda border where drivers have been experiencing unworthy treatment from the medical teams there. They protested for delayed results which have caused them a lot. The situation is not different since they cannot access good sleeping conditions like hotels since residents fear them that they must be positive. Also, they have resorted to cooking for themselves on the roadside since there are no hotels that are willing to open and operate.
Business in the border towns is not as usual. A lot closed down and remain that way ever since the Pandemic hit the country and thus the towns at the borders have been experiencing huge economic loss. The health ministry has been asked to fast track the testing processes to reduce on congestion at the border points to allow easy entry and exit of trucks into and out of the country.
#stay home #stay safe #follow my page for more of these and other stories.
Source: Over 100 Truck Drivers Denied Entry Into Tanzania Despite Having COVID-19 Pass and Left Stranded
Tulisema kwamba Kenya haina uwezo wa kupimana ubavu na Tanzania. Kenya ilitaka kuwapima tena madereva wa Tanzania hata baada ya kuonyesha Certificate za Tanzania jambo ambalo madereva wa Tanzania waligoma kupimwa nchini Kenya, jambo lililosababisha Tanzania nayo kuwazuia madereva wa Kenya kuingia Tanzania, sasa hivi madereva wa Kenya wapo tayari kupimwa tena wakiwa Tanzania lakini Tanzania imekataa kuwaruhusu.
MY TAKE; Ni ujinga kupima kina cha mto kwa miguu yote miwili, Hahahaha, Hahahaha
Upper au uzezetaTunachosema hapa ni kwamba, madereva wa Kenya wanaomba kuruhusiwa kuingia Tanzania na wapo tayari kupimwa lakini Tanzania tumekataa, wakati madereva wa Tanzania wakikubali kupimwa huko Kenya wataruhusiwa kuingia Kenya lakini madereva wa Tanzania wamekataa kupimwa Kenya, "who is at the upper hand?"
We mjinga tu nikuulizeThe Bottom line is that no Kenyan Authority will accept certificates from Tanzania as a proof of their drivers being negative.
Lazima wapimwe tena on the Kenyan side.Kama hawataki kupimwa wabaki kwao.Magufuli has exposed you so badly no one trusts covid Data from Tanzania.
Ujitambui inaonesha wewe ndio wale katika familia mtoto ana sauti kuliko wewe mzazi anakupangia anavyota wewe unachoangalia mtoto tu afurah bcHapa naona unashabikia ujinga tu.. Swala la muhimu ni pande zote mbili kufikia muafaka wa nini kifanyike.
Kama swala ni kila dereva aingiapo nhci nyingine apimwe basi iwe hivyo na biashara kuendelea
Muafaka gani unataka wewe...muafaka ulishafanywa...Kila dereva apime nchini mwake na akiingia nchi nyingine aonyeshe certificate ya upimaji...manyang'au wamekiuka makubaliano...ni vema issue ibaki hivi hivi ...Kila mtu apambane na hali yake..nyang'au hakuna kuingia TZ..na MTZ naye hakuna kwenda kwa manyang'au..Hapa naona unashabikia ujinga tu.. Swala la muhimu ni pande zote mbili kufikia muafaka wa nini kifanyike.
Kama swala ni kila dereva aingiapo nhci nyingine apimwe basi iwe hivyo na biashara kuendelea
Tunakubali...Kila mtu apambane na hali yake..nyang'au mbaki kwenu Kenya..mkija TZ tutawaambukiza Corona...na sisi hatuji huko Kenya kwani tunaogopa tusije tutawaambukiza Corona...nyie endeleeni kupima Corona kwenu..tekelezeni masharti ya mkopo wa mabeberu..Kenya mna shida Kila jirani ana ugomvi na nyie..The Bottom line is that no Kenyan Authority will accept certificates from Tanzania as a proof of their drivers being negative.
Lazima wapimwe tena on the Kenyan side.Kama hawataki kupimwa wabaki kwao.Magufuli has exposed you so badly no one trusts covid Data from Tanzania.
Mtasanda mwaka huu wajinga nyinyi.Upperhand kwenye upumbavu au? Kwa kifupi unashabikia serikali yako inavyojibu hoja, mbinu, na sera za GOK za kulinda afya ya wananchi wa Kenya kwa kukurupuka bila mikakati ya kueleweka kuhusu janga la Corona? Hiyo ndio defination kamili ya ulofa na kubebewa akili. Masharti ya nyumba yangu ni kwamba unapoingia lazima uvue viatu- Rais Uhuru Kenyatta. Hiyo ndio hoja muhimu, zaidi ya hapo hayo mengine ni siasa duni na mateke ya punda mwendawazimu.
Mkuu umeona video ya hii? Wanasema wamepimwa Kenya, weeks zimeshakata sasa, hawajawai kuumwa na kwamba mamlaka za Kenya mkipewa 3000 sijui, ndio unakuwa -ve covid19.pitalRadio
@CapitalRadiotz
#Habari:Madereva wa magari makubwa ya mizigo wamekwama kwa siku tano katika mpaka wa Holili mkoani Kilimanjaro kutokana na upande wa Kenya kutotambua vyeti vya vipimo vya ugonjwa wa Corona vinavyotolewa na Wizara ya Afya ya Tanzania kwa madereva hao.
Translate Tweet
2:30 PM · Jun 5, 2020·TweetDeck
2
Likes
Nukta Tanzania
@NuktaTanzania
Chama cha wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) kimeiomba Serikali kuzitafutia ufumbuzi changamoto nne ikiwemo unyanyasaji wa madereva wa Tanzania katika mpaka wa nchi za Rwanda na Kenya ili kuimarisha shughuli za kibiashara katika nchi hizo.
Translate Tweet
Nukta | Tanzania yaombwa kushughulikia adha za madereva kwenye mipaka
Chama cha wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA) kimeiomba Serikali kuzitafutia ufumbuzi changamoto nne ikiwemo unyanyasaji wa madereva wa Tanzania katika
aibu Waziri
@wizara_afyatz
,Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.
Translate Tweet
8:22 AM · Jun 10, 2020·Twitter for Android
Nimesikiliza hoja za madereva wa TZ kukataa kupimwa Kenya. Ni kwamba hakuna mazingira mazuri, mpimaji hajisanitize anapomaliza kumpima mtu wakati anamgusa gusa. Kwaio haki yao kukataa kupimwa, mana kama amemgusa mtu mwenye kirusi, halafu anaingia asiekuwa na kirusi na mpimaji hajaji sanitize maanake anamuambukiza na yule mwengine ama kusababisha contamination kwenye kipimo. Majirani mmekalia ubaya tu kwa Tanzania!Porojo porojo tu kama kawa. Kwani kuna siku hata moja ambapo madereva kutoka Kenya walikataa kupimwa? Mnajifanya mmesahau kwamba shughuli ya kuwapima madereva wa Tz wakiingia Kenya ndio ileleta mgogoro wote kwenye mpaka hapo awali? Hadi GOK ikafunga mpaka na kutoa agizo kwamba madereva tu ndio wanaruhusiwa kuingia, tena baada ya kupimwa na kupatikana kwamba hawana virusi? Maanake hamkutaka wapimwe wala hamkutaka kutangaziwa idadi ya madereva wa Tz ambao walikuwa wamepatikana na COVID-19, mkidai kwamba Tz hakuna Corona. Hii ni 'reverse psychology' au ni serikali yenu ndio imechanganyikiwa? Hakuna dalili zozote ambazo zinaonesha kwamba kuna upimaji wowote unaondelea upande wa Tz, sio kwa raia wa Tz wala wageni. Wiki iliyopita mmepima sampuli ngapi nchini Tz, zilizopatikana +ve nazo ni ngapi? Tupeni takwimu majirani, acheni ubishoo na siasa za peni mbili.
not only Corona, no one trusts any data from TZ...The Bottom line is that no Kenyan Authority will accept certificates from Tanzania as a proof of their drivers being negative.
Lazima wapimwe tena on the Kenyan side.Kama hawataki kupimwa wabaki kwao.Magufuli has exposed you so badly no one trusts covid Data from Tanzania.
unadhani nani anaamini za kenya!!![emoji16][emoji16][emoji16]not only Corona, no one trusts any data from TZ...
Sasa kama sisi tuna corona si muache kuja tusiwaambukize kila mtu abaki kwao full stop.Porojo porojo tu kama kawa. Kwani kuna siku hata moja ambapo madereva kutoka Kenya walikataa kupimwa? Mnajifanya mmesahau kwamba shughuli ya kuwapima madereva wa Tz wakiingia Kenya ndio ileleta mgogoro wote kwenye mpaka hapo awali? Hadi GOK ikafunga mpaka na kutoa agizo kwamba madereva tu ndio wanaruhusiwa kuingia, tena baada ya kupimwa na kupatikana kwamba hawana virusi? Maanake hamkutaka wapimwe wala hamkutaka kutangaziwa idadi ya madereva wa Tz ambao walikuwa wamepatikana na COVID-19, mkidai kwamba Tz hakuna Corona. Hii ni 'reverse psychology' au ni serikali yenu ndio imechanganyikiwa? Hakuna dalili zozote ambazo zinaonesha kwamba kuna upimaji wowote unaondelea upande wa Tz, sio kwa raia wa Tz wala wageni. Wiki iliyopita mmepima sampuli ngapi nchini Tz, zilizopatikana +ve nazo ni ngapi? Tupeni takwimu majirani, acheni ubishoo na siasa za peni mbili.