Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi abood anaenda dodoma?.
zile ngarangara ni sawa.Kuna Abood ya Tabora, na ya Mwanza pia zote zinapita Dodoma
Wewe utakuwa mgonjwa sio bureUsijali ndugu yangu nchi imerudi mahali pake na kwa wenyewe walamba asali na kila mtu ni bosi na hakuna watakao wafanya chochote.
yaani hili Taifa iko siku itaenda chto kwenye kaburi la Magufuli kuomba msamaha maana haya mambo enzi za uhai wake yalikuwa hayasisiki kabisa na mgomo wa mwisho ulikuwa siku ile ya ukuta wa tope.
zile ngarangara ni sawa.
nikitaja ID itakuwa wazi.Unamiliki basi gani mkuu?
Nyie si ndiyo Zitto aliwashauri muende mkazikwe jirani yake kama kweli mna uchungu naye??Usijali ndugu yangu nchi imerudi mahali pake na kwa wenyewe walamba asali na kila mtu ni bosi na hakuna watakao wafanya chochote.
yaani hili Taifa iko siku itaenda chto kwenye kaburi la Magufuli kuomba msamaha maana haya mambo enzi za uhai wake yalikuwa hayasisiki kabisa na mgomo wa mwisho ulikuwa siku ile ya ukuta wa tope.
Labda kikao cha ma Bus ya Abood tu mbona ma Bus mengine yapo njiani kibao tu? Na kumbuka Jana Bus Moja la Abood lilipata ajali maenneo ya kati ya mombo na sameWakuu, nimo ndani ya basi la Abood kuelekea Dodoma ambalo linapaswa kuondoka saa 12 asubuhi.
Mpaka sasa saa 12:30 hakuna basi lililoondoka stendi hii ya Mbezi kuelekea sehemu mbalimbali.
Nimeulizia nikaambiwa madereva wana kikao.
nikitaja ID itakuwa wazi.
Zito yupi ? Anayemuita mwenzake mlemavu. Wakati yeye mshirikinaNyie si ndiyo Zitto aliwashauri muende mkazikwe jirani yake kama kweli mna uchungu naye??
Hadi Mwanza anaendasiku hizi abood anaenda dodoma?.