Madereva wa magari ya abiria kushuka na kuacha gari kwenye foleni kuna hatarisha usalama wa abiria

Dah braza vipi ha ha ha....
Ukiwa na gari private afu kuna folen lazma umtaman dereva wa daladala anavopunga upepo nje kusubiri folen itembee huku abiria wanamlindia gari....[emoji28][emoji28]
 
Reactions: Cyb
Hawajali maana madereva wa daladala wana ushirikiano mzuri
Na matrafik police,kumbuka daladala hizo daily wanatoa hela kwa traffic police

Ova
Ni kweli kabisa, mazoea haya yanafanya wanakuwa huru kuvunja sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…