Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakifanya hivi ntawaelewa sana ingawaje ni ngumu hivi vitu wanafanya Nchi zilizoendelea wanaothamini watu wao..Hiki ni kigezo tosha cha kuingia goma kuchukua raia wetu.
Sijaelewa ni msaada gani Wanauomba.Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokwama nchini Kongo (DRC) wameomba msaada wa haraka baada ya waasi wa kikundi cha M23, kinachodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, kuteka mji wa Goma.
View attachment 3215722
Soma, Pia: Waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma
Daa hatari sana...Kama Nchi hatuwezi kutoa tamko Kweli hao madereva warudi bila kudhuriwa...M23 wakikaidi JWTZ waingie mzigoniMadereva wa malori kutoka Tanzania waliokwama nchini Kongo (DRC) wameomba msaada wa haraka baada ya waasi wa kikundi cha M23, kinachodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, kuteka mji wa Goma.
View attachment 3215722
Soma, Pia: Waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma
Hapa hawajificha bana. Yaani mkae chini ya magari ndo iwe kujificha ππ. Waseme tu eanahofu wanahitaji msaada.Madereva wa malori kutoka Tanzania waliokwama nchini Kongo (DRC) wameomba msaada wa haraka baada ya waasi wa kikundi cha M23, kinachodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, kuteka mji wa Goma.
View attachment 3215722
Soma, Pia: Waasi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema wamechukua mji muhimu wa Goma
Toka lini mataifa ya Africa yakajali raia wake? πHiki ni kigezo tosha cha kuingia goma kuchukua raia wetu.
Toka lini mataifa ya Africa yakajali raia wake? π