Madereva na wamiliki wa malori na diaspora ya watanzania popote ulimwengu.
Muwe mnasoma habari za kina ambazo kiuhakika ni zao la kiintelejensia zinazoandikwa hapa JamiiForums.
JamiiForums ni media kubwa kama Reuters, CNN, BBC, YouTube n.k kwa habari za uhakika ili mfanye maamuzi sahihi popote ulimwengu kwa muda ulio sahihi.
Serikali huwa ina umangi meza hivyo kutoa habari huchukua muda mrefu kufikia raia wake walio nje ya Tanzania