Madereva waandamana bandari

Madereva waandamana bandari

Mwananchi hewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
226
Reaction score
274
Madereva wa malori yanayotumia bandari ya Dar es Salaam waandamana kulalamikia ucheleweshaji wakushgulikiwa taratibu za mizigo yao na kusababisha kukaa muda mrefu mpaka wa zaidi ya siku moja bandari na wakidai kuwa ucheleweshaji huo ni scanner za humo kutofanya kazi Kwa ufanisi kwa lisaa moja wanascani gari chini ya 50

Na wanadai pesa yao ni kutokana na ubebabaji wa kontena tatizo la scanner lipo geti namba 5 na 7/6
 
Hebu kaa utulie uandike tena hii habari ...

Naona uko speed sana sijui unataka uonekane wa kwanza kutoa hiyo taarifa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hebu kaa utulie uandike tena hii habari ...

Naona uko speed sana sijui unataka uonekane wa kwanza kutoa hiyo taarifa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watu wambea dah,utakuta huyo ni mfanyakazi mkuta wa humohumo
 
Hebu kaa utulie uandike tena hii habari ...

Naona uko speed sana sijui unataka uonekane wa kwanza kutoa hiyo taarifa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Yupo anaandamana.
 
Back
Top Bottom