Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Wewe huyo hongera sana.watu wako serikalini na Wana kula posho kudadadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huyo hongera sana.watu wako serikalini na Wana kula posho kudadadeki.
Hii noma Mzee wanguH
utakii dalali wa posta
Sija wahi omba ajiraWewe huyo hongera sana.
Sawa sawa mkuu!8mara tatu ni 24...so 240k...mwee piece of cake....hiyo nakupa kama nimesimama vilejmosi nipo duka i kwako hapo
😂😂😂 HtreeHii noma Mzee wangu
Sasa uombe yanini na umezaliwa zipoSija wahi omba ajira
Una ufala mwingi bro, zipo nini ndevu au😂🤣Sasa uombe yanini na umezaliwa zipo
Kama ulizaliwa ukiwa na ndevu sawa.Una ufala mwingi bro, zipo nini ndevu au😂🤣
nah homie, mi mganga njaa tu.Kama ulizaliwa ukiwa na ndevu sawa.
Kilinge chako kiko wapi kama ni mganga?nah homie, mi mganga njaa tu.
namaanisha mimi raisi wa ma jobless pro max 😂Kilinge chako kiko wapi kama ni mganga?
Unatuchora acha kabisanamaanisha mimi raisi wa ma jobless pro max 😂
bro sijui kuchora toka nizaliwe 🤣😂, labda mdogo wangu wa 2 ndo ana jua jua.Unatuchora acha kabisa
Kaka una kaunafk flan ivi 😂😂😂Sasa uombe yanini na umezaliwa zipo
%Hakuna mshahara unaotoshaga mkuu, hiyo 400K ni ndogo ila ni kubwa muulize jobless Intelligent businessman mtaa ulivyo mweupe
Sio ishu wao ndio wanamiliki anga 😂Kaka una kaunafk flan ivi 😂😂😂
Tuseme ya kwamba ndugu yetu safari za Anga sio inshu kwake.