Madhaifu ya wanyakyusa nilichogundua baada ya kupeleka posa/barua kwa binti wa kinyakyusa

Shemeji nilijua tu nitakuona kwenye huu Uzi😹😹😹
 
Wanawake wa kinyakyusa ni kabila jeuri dunia nzima, unaoaje mnyakyusa una akili wewe?
 
Mkuu, mtoto atalelewa, na atasimama, na atakua mtu na kioo cha jamii, tunaweza kulea mbwa, kuku bila mama zao sembuse binadamu, tena damu yangu?
Agiza kinywaji bariiiidi ujilipie mkuu
Huu ndio uanaume sasa 😂

Hakuna kitu nachukia kama mwanamke kunga’ang’ania mtoto wakati hana uwezo wa kumtunza na anakugeuza kitega uchumi kwa mgongo wa mtoto
 
Posa haiendani na maadili, nitakupinga mpaka kesho. We linganisha na uchumi wa familia ya binti ila si maadili, shika naujue hilo. Mabinti wengi wakitajiri ni club na one night stand uliza wanafika wangapi hospitali kutoa mimba. Hivyo maadili ni kitu kingine kabisa.
 
250k. tu una risk lifestyle na future ya mtoto.

probably umetoka kwa single parents family. sio kwa akili hizi.
Basically hajarisk chochote bali ameweka msimamo kuwa familia hii ni yake na maamuzi ni juu yao. Unatengeneza msingi tangu mwanzo maana ukikosea kidogo maamuzi ya familia yako yataingiliwa na wakwe. Ni mwanamke mpumbavu tu ndio atakayefanya mwanae alelewe kama yatima aliyekosa baba kisa posa wakati kuna maisha baada ya posa, mahari na ndoa. Na hapo hao wazazi hawatakuepo kukuendeshea hilo gurudumu.
 
Huo ukanda tu kuanzia njombe,mbeya mpaka songwe sio pa kuoa,wacha waoane wao kwa wao ndio wanawezana kuanzia ubabe mpaka ushirikina.
 
Tena wanyakyusa ni matrilineal. Watoto wanatuma majina ya wajomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…