Madhaifu yetu Simba SC ni makubwa kuliko ya Yanga SC

Madhaifu yetu Simba SC ni makubwa kuliko ya Yanga SC

Mimi ningekua mwanchama wa Simba, jambo ambalo ningepambana nalo ni kumuweka pembeni huyu msemaji wao,.. Anaropoka tu kuwafurahisha wanachama hata kwa jambo ambalo halina faida.. Hakuna mwaka Simba watalia kama mwaka huu.... We subir, muda utaongea... Ni usajili wa majina yasiyo na faida na wala msaada.. Subir Ligi ianze.....

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
"Pambana na ...........yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKATI SISI TUNAMUITA KIUNGO WETU MPYA WENZETU WANAMUITA MCHEZAJI WAO WA ZAMANI

TUNAPASWA KUJIULIZA UPYA WA KIUNGO WETU NO UPI?

....SIKU ZOTE MASHABIKI WENZANGU WA SIMBA UWA HAWANIELEWI LINAPOKUJA SWALA LAKUJADILI MPIRA KITAALAMU LAKINI IPO SIKU WATANIELEWA NA WATAJUA NINI NAMAANISHA......SIMBA TUPO KWENYE HATARI KUBWA SANA

I WAS THE FIRST PERSON KUPINGA USAJILI WA JOHN BOCCO NA SHOMARI KAPOMBE, LAKINI HAKUNA ALIYENIELEWA BEFORE BUT NOW AM SURE KILA MWANASIMBA MWENZANGU WAMEANZA KUNIELEWA

NILIWAKATAA BOCCO NA KAPOMBE KWA MAMBO MATATU TU

(1) UMRI- UKIANGALIA UMRI WA BOCCO NA KAPOMBE UTAKUBALIANA NA MIMI KUWA HAWANA JIPYA TENA AMBALO WANAWEZA KUJIFUNZA NA KUJIONGEZA KATIKA MAISHA YAO YA MPIRA, TIMU YEYOTE AMBAYO INA POSITIVE FOCUS INAHITAJI WACHEZAJI WENYE UMRI MDOGO ILI WAWEZE KUTUMIKA KWA MDA MREFU NA IKIWEZEKANA KIWAUZA NJE YA NCHI KWA FAIDA YA TIMU NA KLABU KWA UJUMLA

(2) MAJERUHI YAKUDUMU AMBAYO WANAYO-HAKUNA ASIYEFAHAMU KUWA BOCCO NA KAPOMBE WALIFIKIA HATUA YA KUPELEKWA AFRICA KUSINI NA KLABU YAO YA ZAMANI YA AZAM KUTOKANA NA KUWA MAJERUHI WA MARA KWA MARA, LAKINI ATA PALE WALIPORUDI KUTOKA KWENYE MATIBABU HAWAKUWEZA KUEPUKANA NA MAJERUHI, KATIKA ORODHA YA WACHEZAJI AMBAO WAMEKAA BENCHI SANA MSIMU ULIOPITA KUTOKANA NA KUWA MAJERUHI WA MARA KWA MARA BASI ORODHA HIYO JOHN BOCCO NA KAPOMBE HAWAKOSI KUWEMO , AZAM SIYO WAJINGA KUWASIMAMIA MATIBABU YA HALI YA JUU NA MWISHO WA SIKU WANAWAACHA, HAPA AZAM WAMEANGALIA MAJAMBO MAWILI KWANZA WAMEANGALIA UMRI WAO LAKINI PIA WAMEANGALIA FITNESS YA WACHEZAJI HUSIKA NA MWISHO WA SIKU WAMEONA HAWATAKUWA NA FAIDA KWA KLABU.....JIULIZE KWANINI AZAM WALIKUWA WAGUMU KUMUACHIA GADIEL MICHAEL KWENDA YANGA? KWA SABABU WALIANGALIA UMRI WA GADIEL NA FITNESS YAKE WAKAGUNDUA KUWA NI POTENTIAL KWA KLABU NDIYO MAANA WALIWEKA VIPINGAMIZI SANA KUMUACHIA

(3) UWEZO WA WACHEZAJI HUSIKA-UKIMUANGALIA KAPOMBE WA SASA SIYO YULE AMBAYE ALITOKA SIMBA KWENDA AZAM MIAKA KADHAA ILIYOPITA, LAKINI PIA HAUNA SABABU YAKUELEZEWA SANA UWEZO WA BOCCO UWANJANI NANI AMESAHAU NIMKUMBUSHE BOCCO HUYU HUYU NDIYE AMBAYE ALIJITOA KUICHEZEA TIMU YA TAIFA BAADA YA MASHABIKI SISI SISI WA SIMBA KUMZOMEA SANA KUTOKANA NA UWEZO MDOGO AMBAO ALIKUWA ANAUONYESHA NA PIA HALI YAKE YAKUKOSA MAGOLI YA WAZI KABISA....AU LEO TUMESHASAHAU KWA KUWA TU TUMEMSAJILI? MPAKA SASA BOCCO NDANI YA SIMBA AMECHEZA MECHI NNE ZA KIRAFIKI LAKINI HANA ATA GOLI MOJA JAPO LAKUOTEA...HUYU NDIYE FORWAD KWELI AMBAYE TUNAMTEGEMEA KWENYE MECHI ZA NDANI NA ZAKIMATAIFA?

MPAKA SASA BOCCO NA KAPOMBE NDIYO MIONGONI MWA WACHEZAJI MAJERUHI NA AMBAO HAWATAKUWEPO KATIKA MECHI DHIDI YA WATANI ZETU YANGA...HAWA NDIYO TUNAWAITA WACHEZAJI WETU WAPYA , UPYA WAO UKO WAPI SASA?

KAMA KUNA SEHEMU NIMESEMA UONGO KWENYE POST HII NIONYESHE NIOMBE RADHI

HILI NI TATIZO KUBWA

-na Wajey Diego




View attachment 569074
Wewe kweli unajua kuchambua mambo ulichokisema ndio ukweli mtupu, muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hili mkuu ni pamoja na wewe hata mechi ya Yanga tutapigwa tu... Kwenye usajili hata mimi sikuupenda usajili wa bocco kapombe hata huyu okwi
 
Kwa hili mkuu ni pamoja na wewe hata mechi ya Yanga tutapigwa tu... Kwenye usajili hata mimi sikuupenda usajili wa bocco kapombe hata huyu okwi
 
umeongea vizuri lkn timu zetu za kibongo zina malengo ya mashindano ya ndani tu na kumfunga mtani tu!simba misimu minne ilikuwa na damu changa je wamechukua kombe mara ngapi na yanga kulikuwa na wakongwe na ndo bingwa mara zote na wanajiita wa kimataifa kwa sababu ya ubingwa huku wachezaji ni wazee akina tambwe na kamusoko so simba nao wameamua kusajili wakongwe ili warudishe heshima ndani ikiwepo kuifunga yanga na kuwa bingwa ligi kuu,kimataifa watanusa na kurudi kama yanga tuu basi inatosha kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa style ndala fc mlivyowekwa kwe kona na magu nadhan mnamkumbuka kikwete now.....eh eh ila sio mbaya dogo wetu rizimoko wa fitna atakuja Changsha Changsha angalau mnada usipigwe ingawa Satan mmeshikwa pabaya kama nanyi ni ile jamii ya viongozi mafisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa style ndala fc mlivyowekwa kwe kona na magu nadhan mnamkumbuka kikwete now.....eh eh ila sio mbaya dogo wetu rizimoko wa fitna atakuja Changsha Changsha angalau mnada usipigwe ingawa Satan mmeshikwa pabaya kama nanyi ni ile jamii ya viongozi mafisadi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivo ujui kuwa Serikalindio Yanga,na Yanga ndio serikali?

Kamailikuwa na mawazo finyu kuwa jengo la Yanga lingepigwa mnada basi "kalaga baho"
 
Hivo ujui kuwa Serikalindio Yanga,na Yanga ndio serikali?

Kamailikuwa na mawazo finyu kuwa jengo la Yanga lingepigwa mnada basi "kalaga baho"
wanayanga bana kama wanawake malaya sasa baada ya kuzunguuuka imebidi uoneshe unazi wako...magu yeye anataka kodii na kazi ..hamna kubebana utawala huu..nasikia na familia ya karume nao wanataka eneo lao kumbe mzee karume aliwaazima tu kwa mda
 
Uko sahihi mkuu; lakini nakushauri uweke akiba ya maneno.
Ni mapema mno kuwahukumu Bocco,Kapombe na benchi la ufundi.Tuwape muda.
Hope wataimarika na kuisaidia timu.

The Great Gatsby
 
Uliposema uwongo ni hapo ulipoandika
"madhaifu yetu Simba"
Ilibidi uandike
" madhaifu yenu Simba "
Na pia Kapombe hakwenda Azam kwa kutokea Simba, bali alienda Ufaransa(hata kama kulikuwa na magumashi).

The Great Gatsby
 
Back
Top Bottom