Madhara gani ya kiafya yanayotokana na kupanda Mlima Kilimanjaro?

Msingida

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
10,239
Reaction score
11,731
Naomba ushauri kwa waliowahi kupanda na wenye utaalam wa kupanda milima. Kuna rafiki yangu alikuwa akitafuta baiskeli ya kufanyia mazoezi ya kupanda ml.Kilimanjaro.

Ana wiki moja tu ili apande, ameniomba ushauri kama apande au lah. Nimeshindwa kumsaidia ushauri kutokana na kutokuwa na uzoefu wa mswala hayo.

Atakuwa na wageni kumi, na wasaidizi kubeba mizigo. Hofu yake kama atamudu kufika kileleni na madhara kiafya kama yapo.

Nawakilisha
 
Ajiandae kuwa na majaket ya kufa mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…