Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Naomba ushauri kwa waliowahi kupanda na wenye utaalam wa kupanda milima. Kuna rafiki yangu alikuwa akitafuta baiskeli ya kufanyia mazoezi ya kupanda ml.Kilimanjaro.
Ana wiki moja tu ili apande, ameniomba ushauri kama apande au lah. Nimeshindwa kumsaidia ushauri kutokana na kutokuwa na uzoefu wa mswala hayo.
Atakuwa na wageni kumi, na wasaidizi kubeba mizigo. Hofu yake kama atamudu kufika kileleni na madhara kiafya kama yapo.
Nawakilisha
Ana wiki moja tu ili apande, ameniomba ushauri kama apande au lah. Nimeshindwa kumsaidia ushauri kutokana na kutokuwa na uzoefu wa mswala hayo.
Atakuwa na wageni kumi, na wasaidizi kubeba mizigo. Hofu yake kama atamudu kufika kileleni na madhara kiafya kama yapo.
Nawakilisha