peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Wanasheria na wasomi wengine naomba unisaidue majibu ya nini madhara ya kuishtaki taasisi isiyokuwepo yaani Bodi ya Wadhamini (Board of Trustee), badala ya The Registered Trustee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena waneshilkwa pabaya mno hadi wanakuja huku kuomba msaada wa kisheriaHalima Mdee kawashika pabaya Chadema
Ndio Akili zako zinavyokudanganya?Halima Mdee kawashika pabaya Chadema
Jana Kibatala alichanganyikiwa pale Mahakama
Vyama na makampuni wanaitwa corporate bodies, wanaweza kufanya kila kitu as a natural person, na kukitokea any civil or criminal liabilities, inashitakiwa office bearers wa kampuni au chama, at the same time, wanashitakiwa wamiliki wa kampuni na kwa vyama strustees.Wanasheria mfano Prof Kabudi, Halima mdee , Peter Kibatala na wasomi wengine wa sheria Tz .
Ninaomba unisaidue majibu ya kichwa cha habari hapo juu
Iwapo ukiishitaki CRDB bank badala ya CRDB Bank PLC? Ni nini madhara yake?
Halima Mdee kawashika pabaya Chadema