Kugegedana mpaka wakati wa kujifungua, mtasababishia mtoto awe anaota ndoto mbaya usiku hasa majoka wakubwa wakubwa, akishazaliwa
nasikiaga tu sina hakika ukifanya mapenzi siku akira anakaribu kujifungua zile mbegu zinaenda kwa mtoto ivyo mama anakuwa na mashahawa ya ela yote manesi wanagoma kumshika sina hakika lakin nilisikia tu
"hakuna shida yoyote, Sema huwa ni ngumu kwa mwanaume kuvumilia miezi yote 9 "ngoja niongee na doctor nitaleta mrejesho
ndo maana nikasema nilisikia sina hakika??umesoma walau biology mkuu
Vaginal fluid inayo smell ni ishara ya mama huyo kuwa na maambukizo kwenye via vya uzazi.Usisahau kuwa vaginal fluid ya mama mjamzito huwa na smell ambayo inaweza kukutoa kwenye mudi
Acha uongoUnaweza kusex na mama mjamzito hadi siku ya kujifungua ili mradi tu hana tatizo lolote la kiafya.Na mjamjizito kukaa bila kusex hakuleti madhara yeyote katika kujifungua.Mwanamke mjamzito anapoacha kusex bila sababu yeyote ni kujitesa bila sababu yeyote.Nyege kipindi cha ujauzito hua ni nyingi sana hivyo mjamzito anatakiwa kuburudika na tendo hilo kadri anavyojisikia.Wapo wanaume wajinga ambao huwatenga wake zao wajawazito na matokeo yake mwanamke huanza kuliwa na ndugu wa mwanaume kiulani.Mjamzito aachwa pale tu anapokuwa na matatizo ya kiafya.
Duu haya mkuu ntalifanyia kaziVaginal fluid inayo smell ni ishara ya mama huyo kuwa na maambukizo kwenye via vya uzazi.
Huu ushauri nina mashaka nao**** haifungui njia, kama hujisikii kufanya acha
Ee
Wadau habari zenu! naomba kuuliza kwa wanawake wenzangu na wataalamu, wakuu humu ndani, yapi madhara mwanamke mjamzito anaweza kupata kama atakaa katika kipindi chote (yaani miezi tisa) kama atakaa bila sex na mwenza wake labda kwa sababu kadhaa, kukosa hisia, kutoelewana, km tunavyojua kipindi cha ujauzito ni kigumu kwa baadhi ya watu, pia km tunavyojua ktk dunia ya sasa magonjwa ni mengi haswa pale unapoona mwenzio 50/50 ni heri kumkinga mtoto kuliko kumuendekeza mtu ambaye hajitambui.
Swali hivi ni kweli kukaa bila kusex kunaweza kuleta shida wakati wa kujifungua? Ni neno huwa lipo midomoni mwa watu sana. Wakuu naomba naomba kujuzwa.
Kiroho safi si kwa matusi wakuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ahahhahaha umenifurahisha aisee !kha
??[emoji56]Wala hamna wasiwasi wa mimba kuingia wala kuhesabu kalenda ni kitu na box tu.