Madhara kwa mjamzito kutosex je kutamfanya njia kutofunguka?

Mie nielewavyo mwisho wa kupigwa mbupu, mama mjamzito mwisho miezi 7 au minane, ikumbukwe mama mjamzito. Mimba ikifikia miezi 7, anaweza kujifungua mtoto njiti, asietimiza miezi 9.
 
Acha uongo
 



Sio kweli kabisa, mfano ni Mimi Mme Wangu alifariki nikiwa na mimba ya miezi miwili na nimejifungua salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…