TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
TRANSPLANTS:
Kuna aina ya mfumo wa uoteshaji ambao dunia wakoloni//wazungu kupitia vyuo vikuu mbali mbali kwao au hata hapa kwetu Africa umeuona una maana na hata kupewa kipaumbele.
Aina hii ya upandikizaji wa mimea hasa kitaalam hupandwa wakati hata husio wa msimu ili kupata lengo, mfano mmea unaotaka kuupandikiza au trans feed unaweza kufanya hivo kwa kuuweka ndani ili kuuepusha na kipindi kisicho chake, (msimu)
Hivo basi mmea huo ukisha nawili kufikia umribunaweza kuvumilia magonjwa unaweza kuupanda nje sehemu uliyopanga kuupanda.
Hapo ktk mlolongo huo uchukuliwa mmea tofauti kama ulipanda mwembe, ukifika hatua ya magotini unauunganisha na mmea unaotaka na ambao umefanyiwa utafiti kwa kukata ule mwembe kwa mchorobwa V na kipande cha mti wa pili utakachounga pale juu unakata mchoro wa v iliyogeuka juu.
Baadaye utapata aina mpya ya mche uliotarajia, hapo ni kutokana na utafiti. Na ifahamike wazi kuwa upandikizwaji huu ni kwasababu tu miche iwe inatoa/zalisha vyakula mapema kuliko ilivyo kawaida yake.
Mf. Mwembe badala ya miaka 5-8 basi kwa muda qa miaka 2 unakula maembe.
Hivi majuzi huko mbeya wakulima wa viazi mviringo walikuwa wakipewa elimu ya ukulima wa mbegu bora na za kisasa za viazi vya muda mfupi na ambavyo kama ulikuwa (mfano) unalima ekari moja na kupata gunia 8 basi utapata gunia 15.
Mdau nini unachojifunza kwa ubunifu huu wa kisasa kwa ajili ya mkaazi wa dunia juu ya vyakula hivi vya biochemistry..?
Nawasilisha.
Kuna aina ya mfumo wa uoteshaji ambao dunia wakoloni//wazungu kupitia vyuo vikuu mbali mbali kwao au hata hapa kwetu Africa umeuona una maana na hata kupewa kipaumbele.
Aina hii ya upandikizaji wa mimea hasa kitaalam hupandwa wakati hata husio wa msimu ili kupata lengo, mfano mmea unaotaka kuupandikiza au trans feed unaweza kufanya hivo kwa kuuweka ndani ili kuuepusha na kipindi kisicho chake, (msimu)
Hivo basi mmea huo ukisha nawili kufikia umribunaweza kuvumilia magonjwa unaweza kuupanda nje sehemu uliyopanga kuupanda.
Hapo ktk mlolongo huo uchukuliwa mmea tofauti kama ulipanda mwembe, ukifika hatua ya magotini unauunganisha na mmea unaotaka na ambao umefanyiwa utafiti kwa kukata ule mwembe kwa mchorobwa V na kipande cha mti wa pili utakachounga pale juu unakata mchoro wa v iliyogeuka juu.
Baadaye utapata aina mpya ya mche uliotarajia, hapo ni kutokana na utafiti. Na ifahamike wazi kuwa upandikizwaji huu ni kwasababu tu miche iwe inatoa/zalisha vyakula mapema kuliko ilivyo kawaida yake.
Mf. Mwembe badala ya miaka 5-8 basi kwa muda qa miaka 2 unakula maembe.
Hivi majuzi huko mbeya wakulima wa viazi mviringo walikuwa wakipewa elimu ya ukulima wa mbegu bora na za kisasa za viazi vya muda mfupi na ambavyo kama ulikuwa (mfano) unalima ekari moja na kupata gunia 8 basi utapata gunia 15.
Mdau nini unachojifunza kwa ubunifu huu wa kisasa kwa ajili ya mkaazi wa dunia juu ya vyakula hivi vya biochemistry..?
Nawasilisha.