2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,360
- 6,069
Wana jf naomba kuuliza kama kuna ukweli katika hili ama ni myth tu za watu. niliwahi kusikia kwa watu mtaani kuwa watoto wa kiume tu, wanaolishwa uji uliochanganywa na viinilishe vingine kama dagaa, ulezi,n.k.
Lakini ukaweka na maharage ya soya ambayo hayajatolewa maganda yake kwenye huo mchanganyiko na ukasaga upate unga wa kumtengenezea uji, ni kwamba uwepo wa maganda yake(soybeans) yanapelekea kuua nguvu za kiume kwa watoto hawa.
Naomba mnijuze kama hili lina ukweli wowote ama ni hadithi tu za mitaani?
Lakini ukaweka na maharage ya soya ambayo hayajatolewa maganda yake kwenye huo mchanganyiko na ukasaga upate unga wa kumtengenezea uji, ni kwamba uwepo wa maganda yake(soybeans) yanapelekea kuua nguvu za kiume kwa watoto hawa.
Naomba mnijuze kama hili lina ukweli wowote ama ni hadithi tu za mitaani?