Madhara ya Amarula

ameline

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
2,292
Reaction score
1,151
Salaam ndugu zangu,

Naomba kuwauliza madokta wa humu jamvini je kuna madhara yeyote kwa mjamzito kutumia amarula?

Naomba pia kupata ushauri vinywaji gani naweza tumia visinidhuru mimi na mtoto sio juisi chai wala maji plz vile vya kuchangamsha.

Pia nashindwa kunywa hata wine kwani naskia kuna nyingine sio nzuri kwa wajawazito sasa sijui ni zipi.

Naomba kuwasilisha.
 
Nimeona tangazo pale Regency kwenye ubao limeandikwa "don't take alcohol during pregnancy" sasa sijui kwa tangazo hili mnaruhusiwa???
 
Jalibu mbege
mbege mjini inapatikana sasaa? kuna sehem moja kisongo kule inapatikana ya uhakika ila matajiri ndipo wanakimbilia hata ukienda hupati unarud kapa.
 
Nimeona tangazo pale Regency kwenye ubao limeandikwa "don't take alcohol during pregnancy" sasa sijui kwa tangazo hili mnaruhusiwa???

ni sawa lakinii nnachotaka mimi angalao kujua bas vinywaj ambavyo vinafaa during pregnancy..achilia mbali misoda
 
ila ukizaa mlevi usije lalamika mwanangu cha pombe,.... me nijuavyo mjamzito anywi kilevi for the better health of her baby
 
ni sawa lakinii nnachotaka mimi angalao kujua bas vinywaj ambavyo vinafaa during pregnancy..achilia mbali misoda

maji na natural juice is suitable for the time been... usimwaribu mtoto
 
mbege mjini inapatikana sasaa? kuna sehem moja kisongo kule inapatikana ya uhakika ila matajiri ndipo wanakimbilia hata ukienda hupati unarud kapa.

kila jumapili sarafina bar kaloleni, inatokea huko huko kisongo, bonge ya mbege! na ndio anapeleka pia milestone.
 

Mi sio dr lakini sikushauri upendelee kunywa mavinywaji yenye mfano wa pombe kali vyote sumu,pendelea kunywa vinywaji vya kawaida uongeze damu ata juice rebena safi tu,ktk kipindi cha ujauzito achana na mapombe makali
 
ila ukizaa mlevi usije lalamika mwanangu cha pombe,.... me nijuavyo mjamzito anywi kilevi for the better health of her baby

hahaha aika mae basi acha niendelee tu na juice.ila ndo ivo nyama choma na juice ndo bas tena
 
Mi sio dr lakini sikushauri upendelee kunywa mavinywaji yenye mfano wa pombe kali vyote sumu,pendelea kunywa vinywaji vya kawaida uongeze damu ata juice rebena safi tu,ktk kipindi cha ujauzito achana na mapombe makali

asante ndugu..juice ndo kinywaj changu kikuu ila naomba kuuliza rebena inatengenezwa na matunda asilia ama ni squash tu?
 
kila jumapili safarina bar kaloleni, inatokea huko huko kisongo, bonge ya mbege! na ndio anapeleka pia milestone.

usiniambie Nyamayao; basi kuna siku nilikua na ham ya mbege.nkaenda pale milestone ilikua kali kweli mpaka nkahis imewekwa kakonyagi kidogo nkaacha kabisaa.bas nkiwa na kiu tena ntajongea sarafina ndugu
 
hahaha aika mae basi acha niendelee tu na juice.ila ndo ivo nyama choma na juice ndo bas tena

tena ule kwa kipimo usije fumuka ukashindwa kupendeza baada ya kujifungua maji mengi mboga mboga yani nakutamania sema sijapata wa kunipa huyo mtoto
 
asante ndugu..juice ndo kinywaj changu kikuu ila naomba kuuliza rebena inatengenezwa na matunda asilia ama ni squash tu?

Ckumbuki vizuri km,ni squash ama ni matunda asilia ila nachojua mimi ni kinywaji safi kisichokuwa na madhara kwa wajawazito
 
tena ule kwa kipimo usije fumuka ukashindwa kupendeza baada ya kujifungua maji mengi mboga mboga yani nakutamania sema sijapata wa kunipa huyo mtoto

asante ma dia ntajitahid kuzingatia ubarikiwe kwa ushauri safi.
 
Ckumbuki vizuri km,ni squash ama ni matunda asilia ila nachojua mimi ni kinywaji safi kisichokuwa na madhara kwa wajawazito

asante mpendwa leo hiihii ntanunua rebena ingawaje ladha yake siipend ila sina budi.samahani kwa uzoefu wako inaruhusiwa kutumika ikiwa ya baridi?maana watu wengi naona wanaiweka juu ya friji badala ya ndani kama amarula sasa nkawa sipat jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…