Madhara Ya Chuki, Uhasidi Na Uadui (Falsafa Binafsi)

Madhara Ya Chuki, Uhasidi Na Uadui (Falsafa Binafsi)

@ X-paster NIce article
Kwenye hili jamvi kuna aritcles zako nzuri huwa zinanifanya nimkumbe yule jamaa wa Jitambue( nimemsahau jina) Nilikuwa sikosi gazeti lake na kipindi chake TVT.

Ukiwezekana tunga kitabu maana hivi sasa watu watu tunajua maisha ya artificial. Hata watoto walioko mashuleni wanafundishwaa hesabu, na eglish na physics mpaka wanajua kutumia facebook lakini kuna kitu kinakosekana . Na kinachokosena ni elimu kama hizi.

Ndio maana sikubalini na mkandara aliyesema inayosababisha chuki ni watu kutokuwa na IMANI. No kwa sababu kwa experince yangu na humu JF watu wenye imani za dini ) Sisi ndio hasa wenye chuki. KInachosababisha ni watu kukosa elimu na msingi wa maisha halisi. Tena wengine hizo imani etu tulizonazo ndio tunazitumia vibaya kuwa msingi wa zege wa chuki. kwa wengine wasio na imani kama zetu.

Kuna watu wakiomuona Kikwte kavaaa kanzu pale ikulu wanakosa raha kabisa. Hivyo Hivyo kuna wengine.. ....ngoja niihsie hapa

X-paster UShauri
Social-studies ni somo linalokoseana kwenye jamii na shule . Ungekuwa na muda mkuu ungefanya mambo uwasiliane na wandeshaji wa elimu uone watakusaiia vipi hizi makala zako au vijarida viwepo kwenye shule Al- levele hata vyuo.

Makala au vijarida kama hivi zinaweza kuokoa maisha ya watoto wawili kwa mwaka wanaokunywa sumu na kujiua mashuleni na vyuoni sabbau ya chuki au kuchukiwa.
Mkuu, thanks kwa kunisoma, nitajitahidi kuyafanyia kazi mawazo yako... Ila inatakiwa kuwa na muda na wakati mwafaka.
 
X-paster,asante sana mkuu kwa uzi wa maana,nimeusoma wote na sijatoka bure...BIG UP!!
 
... Chuki halipwi kwa chuki ... fantastic fact Indeed!

... Ni kweli kuwa chuki hailipwi kwa Chuki kwani chuki ni sumaku ... Inavuta nini? ... Hadi isifae kutumika kulipizia kisasi?

... Kwa kuwa Chuki ni sumaku haifai Kutumika kwa matumizi ya mwanadamu ndio maana ... Tutumieni mapenzi ya Juu kabisa vinginevyo ... itakuwa Mhh!! , Naheshimu sana msemo huo wa Mahatma Ghandhi, I wish nigeweza kuufanyia kazi 100%!!

Sijaweza kuutekeleza kama inavyotakiwa.. Tatizo?.. Nitayapata wapi mapenzi (LOVE) ya kutosha kushindia chuki!

Ni kweli maneno yako, ila wengi hawayaelewi haya, wanacho kifikiria ni kutaka kukomoana wakidhani kuwa ndio suruhisho la matatizo yao.
 
Huu Ni muda muafaka kufukua kaburi hili Li mejaa Nasaha za kutosha
 
Back
Top Bottom