X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,605
- 1,843
- Thread starter
- #21
Mkuu, thanks kwa kunisoma, nitajitahidi kuyafanyia kazi mawazo yako... Ila inatakiwa kuwa na muda na wakati mwafaka.@ X-paster NIce article
Kwenye hili jamvi kuna aritcles zako nzuri huwa zinanifanya nimkumbe yule jamaa wa Jitambue( nimemsahau jina) Nilikuwa sikosi gazeti lake na kipindi chake TVT.
Ukiwezekana tunga kitabu maana hivi sasa watu watu tunajua maisha ya artificial. Hata watoto walioko mashuleni wanafundishwaa hesabu, na eglish na physics mpaka wanajua kutumia facebook lakini kuna kitu kinakosekana . Na kinachokosena ni elimu kama hizi.
Ndio maana sikubalini na mkandara aliyesema inayosababisha chuki ni watu kutokuwa na IMANI. No kwa sababu kwa experince yangu na humu JF watu wenye imani za dini ) Sisi ndio hasa wenye chuki. KInachosababisha ni watu kukosa elimu na msingi wa maisha halisi. Tena wengine hizo imani etu tulizonazo ndio tunazitumia vibaya kuwa msingi wa zege wa chuki. kwa wengine wasio na imani kama zetu.
Kuna watu wakiomuona Kikwte kavaaa kanzu pale ikulu wanakosa raha kabisa. Hivyo Hivyo kuna wengine.. ....ngoja niihsie hapa
X-paster UShauri
Social-studies ni somo linalokoseana kwenye jamii na shule . Ungekuwa na muda mkuu ungefanya mambo uwasiliane na wandeshaji wa elimu uone watakusaiia vipi hizi makala zako au vijarida viwepo kwenye shule Al- levele hata vyuo.
Makala au vijarida kama hivi zinaweza kuokoa maisha ya watoto wawili kwa mwaka wanaokunywa sumu na kujiua mashuleni na vyuoni sabbau ya chuki au kuchukiwa.