Madhara Ya Chuki, Uhasidi Na Uadui (Falsafa Binafsi)

Mkuu, thanks kwa kunisoma, nitajitahidi kuyafanyia kazi mawazo yako... Ila inatakiwa kuwa na muda na wakati mwafaka.
 
X-paster,asante sana mkuu kwa uzi wa maana,nimeusoma wote na sijatoka bure...BIG UP!!
 

Ni kweli maneno yako, ila wengi hawayaelewi haya, wanacho kifikiria ni kutaka kukomoana wakidhani kuwa ndio suruhisho la matatizo yao.
 
Huu Ni muda muafaka kufukua kaburi hili Li mejaa Nasaha za kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…