Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 540
Msaada tafadhali,
Je, kuna madhara yeyote ya chumvi kwa mtoto anayenyonya, mwenye umri chini ya miez 6? Hii nimeikuta Ugweno hukoo, mama alojifungua anapewa chakula cha bila chumvi anaambiwa itamdhuru mtoto. Je, ni kweli inamdhuru mtoto au just bla bla?
MziziMkavu doctorz
Je, kuna madhara yeyote ya chumvi kwa mtoto anayenyonya, mwenye umri chini ya miez 6? Hii nimeikuta Ugweno hukoo, mama alojifungua anapewa chakula cha bila chumvi anaambiwa itamdhuru mtoto. Je, ni kweli inamdhuru mtoto au just bla bla?
MziziMkavu doctorz