From HEAVERN
Member
- Jun 8, 2014
- 25
- 3
Jamani wakuu,
Naombeni mnisaidie: Dawa ambayo hutumiwa na watu wenye vidonda vya tumbo aina ya Zosec (Omeprazole) ina madhara yoyote kwa mjamzito?
Kama yapo, ni yapi?
Naombeni mnisaidie: Dawa ambayo hutumiwa na watu wenye vidonda vya tumbo aina ya Zosec (Omeprazole) ina madhara yoyote kwa mjamzito?
Kama yapo, ni yapi?