Madhara ya Grand Malt

kaburu mdogo

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
567
Reaction score
400
Poleni kwa majukumu ya siku ya leo, naomba kujua madhara ya kunywa grand malt,maana kwa siku naweza kunywa tatu, naomba Na njia mbadala ya kuacha soda.
 
Soda napunguza ila siachi,,yani nikinywa kwa mwezi moja Kuna shida gani??
 
hupelekea homa ya kisukari kwa sababu malt ni mixture ya glucose kwa glucose sasa ukinywa kwa wingi itapelekea kiwango cha sukari katika mwili kuzidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…