msolopaganzi1954
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 763
- 379
......Mkiambiwa UnderDog muwe mnaelewa.
Shafiii ndo Mchambuzi Bora Tanzania... Tatizo mashabiki wengi Majuha na Hawajuhi chochote zaidi ya Upuuzi... Wanapenda kusikia maneno matamu matamu Hata Kama ni Uongo.
....HII NDO Hali Halisi ya Simba SC..
Hakuna Team Duniani iliyowahi chukua Ubingwa kwa Kuwa na misemo mizuri.... Eti Yes We Can... Team inachukua ubingwa kwa Kusajili wachezaji wa Maana na mikakati mikubwa..
Ajabu Sana... Team ichukue Ubingwa Africa kwa Blah blah.
Tubadilike Jamani..... Dunia iko mbali Sana Now.... Mpira ni Science kubwa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Shafiii ndo Mchambuzi Bora Tanzania... Tatizo mashabiki wengi Majuha na Hawajuhi chochote zaidi ya Upuuzi... Wanapenda kusikia maneno matamu matamu Hata Kama ni Uongo.
....HII NDO Hali Halisi ya Simba SC..
Hakuna Team Duniani iliyowahi chukua Ubingwa kwa Kuwa na misemo mizuri.... Eti Yes We Can... Team inachukua ubingwa kwa Kusajili wachezaji wa Maana na mikakati mikubwa..
Ajabu Sana... Team ichukue Ubingwa Africa kwa Blah blah.
Tubadilike Jamani..... Dunia iko mbali Sana Now.... Mpira ni Science kubwa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app