Eee hapo hapo wanasema mwanamke ukifanya sana unazeeka
Ila haitakiw kuzid buana kwa kias tu ndo unakua mrembo
Ndio maana yake @ si unaona daily anapigwa vibao na mkeweMkuu, so kwa maneno yako huenda Mugabe ile mama mke yake nzuri huenda haigegedi ndio maana anaendelea kusurvive?
Kwa Ugwadu huo wa Bao 6 kila siku..Ww Bado Ujaoa au Mapenzi Umeanza Kufanyia Ukiwa Ndani Ya ndoaNikishinda home, bao 4_6ni kawaida,nkichoka kaxn ni 1_2
Ngoja wiki ijayo nianze kufyatua tenaOk Mkuu labda hili la chakula cha kubabia babia lilichangia, lakini kama unakamata msosi wa uhakika milo mitatu kwa siku hili haliwezi kutokea.
Ngoja wiki ijayo nianze kufyatua tena
Huyu ndiye anaweza muziki wengine kazi kupost picha Instagram na kubinua viuno kumbe hawana lolote.lol! na huyo huyo mrembo wako Mkuu?
Hivo hvo mara 3 kwa siku halafu kila siku uyo atazeeka tu afu huko chini kutachokaSasa kufanya sana ndiyo kupi Inna? Maana wengine wanacheza kwa siku mara tatu hadi tano kama zile siku ambazo mgeni hayupo. Sasa namna hii ni kufanya sana?
Huyu ndiye anaweza muziki wengine kazi kupost picha Instagram na kubinua viuno kumbe hawana lolote.
Hivo hvo mara 3 kwa siku halafu kila siku uyo atazeeka tu afu huko chini kutachoka
Mara 3 afu watu tofauti au?
Ni kweli mkuu, sikuwahi kuwa na demu,mapenzi nmeanza kwenye ndoaKwa Ugwadu huo wa Bao 6 kila siku..Ww Bado Ujaoa au Mapenzi Umeanza Kufanyia Ukiwa Ndani Ya ndoa
huna ndoa weye, acha kuhadaa uma ili upate comments!Jamani, watalaam wa haya mambo, toka nioe, sijawahi kumaliza siku 3 bila kugegeda labda awe safari, na period, yake kuna madhara gani ?
Mkuu imekuwa dozi nini inaonekana una nguvu sana utafikiri unacheza zile zetu pi--la-- mimi ningekua mkeo ningeruhusu ukapige nje mana sio kwa kuumizana hukooJamani, watalaam wa haya mambo, toka nioe, sijawahi kumaliza siku 3 bila kugegeda labda awe safari, na period, yake kuna madhara gani ?
Wivu,visu vyaweza tumikaMkuu imekuwa dozi nini inaonekana una nguvu sana utafikiri unacheza zile zetu pi--la-- mimi ningekua mkeo ningeruhusu ukapige nje mana sio kwa kuumizana hukoo
Ndio maana ila upunguze muonee huruma mwenzioNi kweli mkuu, sikuwahi kuwa na demu,mapenzi nmeanza kwenye ndoa
Sawa kabisa, safiiiii......Hamna madhara ongeza dozi