Madhara ya kufanya mapenzi kila siku

Madhara ya kufanya mapenzi kila siku

mke utamchoka tu.... mwishowe ni kutafuta mchepuko
 
Nikishinda home, bao 4_6ni kawaida,nkichoka kaxn ni 1_2
Moderate sex ni nzuri kwa afya ya mwili na akili, na kwa wiki inashauriwa upige show at least mara tatu (ni nzuri kwa afya ya mwili na akili). Ikizidi sana utendaji wako kazini utaathirika tu sababu usiku hutakuwa umepumzika vya kutosha, itafika point utamchoka mkeo na afya itatetereka tu. Hivyo basi, siku za kazi jitahidi kuavoid au piga kamoja tu, w/end piga show ya nguvu (muda wa kupumzika upo).
 
Unapunguza siku za kuishi umeona Nelson Mandela ameishi miaka mingi sana na kafa akiwa bado ana nguvu zake ni kwa sababu alikaa muda mrefu bila kufanya sex,sasa angalia maraisi wengi wa age yake wameondoka wamemuacha,usiendekeze sana chini mjomba.
Kafa akiwa na nguvu zake zinamsaidia nini sasa huko kwenye ufu? Bora angezitumia hapa hapa duniani
 
Unapunguza siku za kuishi umeona Nelson Mandela ameishi miaka mingi sana na kafa akiwa bado ana nguvu zake ni kwa sababu alikaa muda mrefu bila kufanya sex,sasa angalia maraisi wengi wa age yake wameondoka wamemuacha,usiendekeze sana chini mjomba.
Mbona mzee mwinyi yupo na ana mke zaidi ya mmoja na hajawahi kukaa jela
 
Kila siku!! Nyie watu acheni utani[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Hakuna madhara yoyote madhara yatakuja endapo utaacha kufata hiyo ratiba
 
Back
Top Bottom