Wadau,
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wataalamu wa Chuo kikuu cha Montreal, Canada, ni kuwa mwanaume ambaye ameshiriki tendo la ndoa na wanawake kuanzia ishirini na kuendelea ni nadra sana kuugua ugonjwa wa Saratani ya Tezi dume.
Lakini kwa upande wa wanaume mashoga, wao wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kuupata ugonjwa huu. Sababu kubwa inayotajwa kusababisha hali hii kwa mashoga ni kuwa wanakuwa kwenye hatari kubwa ya kupata maumivu kwenye tezi dume kutokana na msikusuko unaotokea wakati wa tendo pindi wanapokuwa wanafanya mapenzi haya (athari zipo kwa muingizwaji).
Kati ya mwaka 2005 na 2009 wanaume wapatao 3208 walishiriki utafiti uliofanywa na Taasisi inayojishughulisha na maradhi ya Saratani na kati yao wanaume 1590 waligundulika kuwa na Saratani hii ya Tezi dume.
Utafiti huu ulichapishwa kwenye Jarida la "
Cancer Epidemiology".
Marie-Elise Parent, aliyeongoza jopo la watafiti alisema kuwa hii isiwe sababu ya wanaume kuhamasika kuwa na wapenzi wengi.
Pia utafiti huu umeweka wazi kuwa wanaume ambao hawashiriki kabisa tendo la ndoa wako kwenye hatari, mara mbili zaidi ya kawaida kuugua gonjwa hili hatari.
Tafiti zilizotangulia pia zilitanabaisha kuwa kufanya mapenzi mara kwa mara kunapunguza uwezekano wa kuugua Saratani ya Tezi Dume kwa kuwa husaidia kupunguza mrundikano wa wadudu visababishi vya Saratani (
carcinogenic crystal-like substances) kwenye tezi dume.
My Take:
Kwa wanaume: Je mwenendo wako unakuweka hatarini au kwenye usalama dhidi ya Tezi dume?
Wamama na wadada, ukiombwa tunda ujue mwenzio anahitaji kinga dhidi ya Saratani. Hivyo msiwe wachoyo.
Na kidume ukiona kila unapoomba tunda unakataliwa basi ujue mwenzio anataka uugue tezi dume.
Kinga ni bora kuliko tiba.
Men who have sex with more than 20 women during the course of their lifetimes are less likely to be diagnosed with prostate cancer, new research shows.
But for homosexuals who have had sex with at least 20 men and virgins, the risk of being diagnosed is doubled, the researchers from the University of Montreal have found.
However, the researchers found that homosexual men who have had at least 20 sexual partners, were twice as likely to to develop prostate cancer compared with those in monogamous relationships.
Compared with men who have had just one sexual partner, men who have slept with 20 or more women have a 28 per cent lower risk of being diagnosed, and are 19 per cent less likely to develop the most aggressive form of prostate cancer.
Homosexual men were also five times more likely to develop a less serious form of the disease than those with only one male partner.
The "highly speculative" hypothesis to explain this increased risk for homosexual men is that there is a heightened risk of picking up a sexually transmitted disease and "physical trauma" to the prostate from anal intercourse.
Between 2005 and 2009, 3208 men participated in the Prostate Cancer & Environment Study and were asked to give information about their lifestyles and sexual experiences.
In this time frame, 1590 men who participated in the study were diagnosed with prostate cancer..
The research, published in the journal
Cancer Epidemiology, is the first of its kind to make a link between the number of sexual partners and the risk of developing cancer.
Lead researcher Marie-Elise Parent said that, despite the results, she did not see a need for public health authorities to encourage men to have sex with as many women as possible.
"It is possible that having many female sexual partners results in a
higher frequency of ejaculations, whose protective effect against prostate cancer has been previously observed in cohort studies," Dr Parent said The research found that men who had never had sexual intercourse, were twice as likely to be diagnosed with prostate cancer.
Prior studies have indicated sexual intercourse might help reduce the risk of prostate cancer because it lowers the concentration of carcinogenic crystal-like substances in the fluid of the prostate.
"We were fortunate to have participants from Montreal who were comfortable talking about their sexuality, no matter what sexual experiences they have had, and this openness would probably not have been the same 20 or 30 years ago," Dr Parent said. "Indeed, thanks to them, we now know that the number and type of partners must be taken into account to better understand the causes of prostate cancer."
Sex with more than 20 women helps reduce prostate cancer: study
Mapendo,
TANMO.