D Dodoma moja JF-Expert Member Joined Jan 3, 2014 Posts 307 Reaction score 182 Jul 14, 2014 #1 Wakuu msaada wenu iwapo mtu atakosa usingizi kutokana na mawazo atakuwa na dalili zipi mwilini kwake??? Natanguliza shukrani za dhati kwenu!!!
Wakuu msaada wenu iwapo mtu atakosa usingizi kutokana na mawazo atakuwa na dalili zipi mwilini kwake??? Natanguliza shukrani za dhati kwenu!!!
Kibo10 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 11,277 Reaction score 8,860 Jul 14, 2014 #2 Nashauri ili usaidiwe vizuri ungeweka wazi mawazo gani yanakusumbua? Ukijibu hilo kiufasaha watu watajuwa pa kuanzia!
Nashauri ili usaidiwe vizuri ungeweka wazi mawazo gani yanakusumbua? Ukijibu hilo kiufasaha watu watajuwa pa kuanzia!
Murano JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 2,056 Reaction score 1,102 Jul 14, 2014 #3 acha kuwaza utapata usingizi.