Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...


we si ujaribu zote za mbuzi na hiyo matope uone majibu mwenyewe...hiyo si nyama ni takataka eti ni sawa na kula kinyesi, that is true whether you like it or not...
 
mbona kule wanakopinga ulaji wa hii nyama ndio kuna maliberali sana, hii inaakaje jomba?
 
"Kisha akawaambia kimwingiacho mtu si najisi bali kimtokacho, na kwa kusema hivyo alivitakasa vyakula vyote"
Kitimoto ni moja ya vyakula vilivyotakaswa moja kwa moja, na tuile ili kujenga na kuimarisha miili yetu.
 
mlaaniwe mnaotaka chafua nyama yetu tamu.! ukila kitmoto hata majini hayakufuati!
 
yapo makosa machache ya spelling na usahihi wa kitaalam kwa mfano andika Fasciolosis na sio Fasciolopsis na kama ulihitaji kuandika jina lake la kisayansi ungeandika Fasciola buski na scientific names zote huwa italized au underlined. Minyoo mingi na hizo parasite kama Balantidium inapatikana kwa wanyama wengine pia na inapopatikana katika meat inspection affected organs huwa zinakuwa condemned na kama si hivyo ile nyama ikichemshwa sana au kuwa frozen at ultra freezing temp hufa. Mfano ng'ombe ana Taenia saginata ambaye madhara yake ni kama Taenia solium wa nguruwe kwa maana hufanya cyst kwa final host (carnivores na humans). kiimani.....ngamia hana kwato lakini anacheua mbona mwakula...vipi kuhusu sungura pia? katika agano jipya ilishawekwa sawa kwamba usiite kharam alichoumba Mungu na kharam ni kile kimtokacho mtu si kimuingiacho. Kama nyie hamli, waacheni wanaokula wale kwa raha zao. Nawashangaa sana kula nguruwe inakuwa unforgivable sin lakini mzinzi au mchawi au fisadi anaweza kupewa hata uimam lakini si mla nguruwe...why? ni wivu tu kwa vile mnajua utamu wa hii nyama.
 
haram kwako dhahabu kwa wengine imani inawafanya watu wanajidanganya.sasa kipi bora kati ya uzinzi na nyama ya nguruwe?!!!!!!
Nani alie kuambia Uzinzi ni bora? Vyote kwapamoja havifai kwa mujibu wa vitabu vyetu vitakatifu.
 
Nguruwe hafai kabisaa, nashukuru sisi wenye dini ya kweli tuna kemewa/kemea hata kufuga. Lakini kuna dini za kizushi ambazo vitabu vyao vina kemea lakini waumini wake Pamoja na viongozi sio kula tu mpaka kufuga tena kenyewe hujiona fahari sana kufanya hivyo.
 
 
 

Kula shwain na kuua ipi afadhali. Mungu aendelee kuwarehemu wakenya waliouwawa bila hatia
 
okey ndo maana nasikia mombasa kuko hivyo na pemba
 
As per knowledge dini zote ni viutarataibu waliojifanyia wanadamu kwa ajili ya kumtafuta Mungu. 1 unauhakika kale kautaratibu kenu mliojifanyia ili kumtafuta Mungu ndiko ka kweli ukilinganisha ni viutaratibu vingine? 2 je una uhakika kuwa ninyi (ndani ya dini yenu)nyote hamtumii hii kitu?
 
Wakati wa mwezi mtukutu mbona zinashuka bei??????????? au huu ni uongo wanajamvi? Mwezi mtukutu nenda Kilombero, Lindi, Tunduru nk utakuta wachagga walia machozi.

Taifiti zinaonesha wakati wa mwezi mtukutu maduka yanayouza Noah wanapata hasara kwa kukosa walaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…