Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Kula shwain na kuua ipi afadhali. Mungu aendelee kuwarehemu wakenya waliouwawa bila hatia
Shikamoo Babu!!! kua makini kabla hauja andika Kwanza msome unae taka kumjibu ameandika nini. Sijasema kuua ni afali (naomba usinilishe maneno) Ila kuua kunaweza kua afadhali kama muuwaji atakua analipiza kisasi.
 
mlaaniwe mnaotaka chafua nyama yetu tamu.! ukila kitmoto hata majini hayakufuati!

Hapo penye majini ndo ajenda hasa ya waislamu na uislamu.....wanaogopa majini yao yasijedhuriwa
 
Yereeeeee uwiiii simbon safooooo Cremeee! mbusi katoliki ukishushia na kambeke ka baridi, siachi aisee! Mungu alikaumba katamu tuburudike eti...acha kele -kelele kweliiii
Hifiiii! hujui kimtokacho mtu ndio najisi na sio kumuingiacho?
 
kuja pande ile hubby wangu! Achana na watu wenye wivu usio na mipaka! Wanatuua bila sababu, na chakula pia wanataka kutupangia! Hakika nasema, kabla hawajaniuliza maswali yao na kunisilimisha, watakuwa wameoga supu za chakula hiki!

Sidhani kama Mungu atakusamehe dhambi hiyo ya kufuru utakayo ifanya.... Yani utadhubutu kumwaga supu iliyotokana na mnyama mtakatifu...? Ukifanya hiyo dhambi hutasamehewa kamwe..
 
Nani alie kuambia Uzinzi ni bora? Vyote kwapamoja havifai kwa mujibu wa vitabu vyetu vitakatifu.

Usiseme viyabu vyetu sema kitabu chetu.....Yaanbi mijitu mnapenda kuunganisha quran na bible pamoja wkt ni vitabu tofauti na mafundisho tofauti kabisaaaa.... kimoja kinafundisha upendo kingine kinafundisha kuua
 

Kwi kwi kwi...Eti sisi wenye dini ya kweli...Dini inayohalalisha ugaidi na kuua watu wasio na hatia....
 
Africa mashariki MOMBASA inoongoza kwa Mashoga. Tanzania wapo hapo Zenji wa kumwaga. Niambie sasa maeneo hayo ndio kunafugwa nguruwe wengi? au kwa luga nyingine maeneo niliyoyataja wakazi wake wengi ni dini gani?
 
Kutumia kutotumia hiyo haina nafasi chamsingi hapa Nguruwe hafai kwa mujibu wa vitabu vyetu vitakatifu lakini wadini nyengine wana vipinga vitabu hivyo kwa kumla na kumfuga Nguruwe.
 
Wakati wa mwezi mtukutu mbona zinashuka bei??????????? au huu ni uongo wanajamvi? Mwezi mtukutu nenda Kilombero, Lindi, Tunduru nk utakuta wachagga walia machozi.
Mwezi mtukufu wa ramadhani mashetani wote uwa wamefungwa ili waumini wa kiislam wafanye ibada ya funga kwa amani na ndio maana kitimoto upungua, ila baada ya ramadhani mashetani ufunguliwa so usishangae mkuu
 
mbona hata ubani unaleta kansa,vipi mtaacha kuuwasha? Acheni mambo yenu kitimoto ni tamu mbya kama unabisha kamuulize mwenyekiti wako wa chama ni member pia
 

Lev: 11:4'' ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia, ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika, kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.

Mbona nyie mnakula ngamia na kwetu sisis ni haramu na wala hatuhangaiki kuwambia msile? Shikeni yenu...hamridhiki tu na dini ya mwenyeeezi mungu wenu?
 

Hii experiment inabidi uijaribu wewe mwenyewe, na sio kuamini video za kwenye internet.
In fact, kama mnyama ni mgonjwa (ng'ombe, mbuzi, nguruwe, n.k) mwili wa myama huo haufai kuliwa na utakuwa na vijidudu hatari kabisa.
 
Shikamoo Babu!!! kua makini kabla hauja andika Kwanza msome unae taka kumjibu ameandika nini. Sijasema kuua ni afali (naomba usinilishe maneno) Ila kuua kunaweza kua afadhali kama muuwaji atakua analipiza kisasi.

Nakutaka radhi mkuu. Pamoja sana.

İla shwain tule tu mkuu. kwa afya zetu.
 
Kiti moto kwa afya, kiti moto ni yenyewe karibuni kwa mzee Robert Mburahati ya kuchoma.
 

Unamaanisha ile dini ya Westgate??
 
Ahsante kwa kunikumbusha aisee nina wiki kadhaa sijaonja hii kitu, uiiiiiiiiiii lete kitimoto ndizi na lite ya baridi
 
jana nimekula kitimoto rost na ndizi,na sintoacha kula hata iweje!hakuna nyama inauzwa gali kama kitimotos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…