MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,514
kama huli kitimoto ni bora pia usile na nyama nyingine pia kama kuku, n'gombe, mbuzi au kondoo coz nao wanabeba magonjwa mengi tu.
so kutokula nyama moja wakati nyingine unafakamia ni unafiki tu.
halafu, ume-assume kama huyo kitimoto tunamla akiwa mbichi. kwa jinc ninavyojua, kitimoto huwa kinapikwa muda mrefu sana. kwanza kinachemshwa, then kukaangwa and kama ni rosti wanakiunga fresh.
so najiuliza hayo ma-pathogens yanaweza kusurvive kweli kwenye moto wa muda mrefu kama huo.
kitimoto ni tamu acheni kabisa babangu........
so kutokula nyama moja wakati nyingine unafakamia ni unafiki tu.
halafu, ume-assume kama huyo kitimoto tunamla akiwa mbichi. kwa jinc ninavyojua, kitimoto huwa kinapikwa muda mrefu sana. kwanza kinachemshwa, then kukaangwa and kama ni rosti wanakiunga fresh.
so najiuliza hayo ma-pathogens yanaweza kusurvive kweli kwenye moto wa muda mrefu kama huo.
kitimoto ni tamu acheni kabisa babangu........