MAKANJAMNA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,138
- 1,514
Inataka moyo kususia mlo kama huu ebu tuacheni jamani kama ni maradhi wazungu wangeshatoweka katika uso wa dunia.
Kwahiyo nahii (Walawi 11 8-9) ipo kwenye kitabu kipi? Babu punguza UCHU.
Nawasikitikia sana ndugu zangu wasio kula
Kongoro la kiti moto + Zanzi balaa uwanja wa ugenini.
Mkuu sasa naanza kuamini kwanini Seminary na shule za Kanisa zinaongoza kwenye mitihani ya kitaifa... Kumbe kule wanafuga kitowewo hiki kitakatifu...
Mkuu acha niwahi kwa July kontena. umentamanisha tayari.
Nguruwe hafai kabisaa, nashukuru sisi wenye dini ya kweli tuna kemewa/kemea hata kufuga. Lakini kuna dini za kizushi ambazo vitabu vyao vina kemea lakini waumini wake Pamoja na viongozi sio kula tu mpaka kufuga tena kenyewe hujiona fahari sana kufanya hivyo.
Mkuu sasa naanza kuamini kwanini Seminary na shule za Kanisa zinaongoza kwenye mitihani ya kitaifa... Kumbe kule wanafuga kitowewo hiki kitakatifu...
Mkuu ni wapi inapatikana hii kitu....im starving! Picha zinahamasisha sana
Mkuu ni wapi inapatikana hii kitu....im starving! Picha zinahamasisha sana
Agiza mguu wa nyuma ndo wenyewe mpwa.
Juzi kati tulikuwa kwenye kongamano la watuumiji wa hii kitu mdau mmoja akatoa pendekezo kwamba watokee tena kundi lingine apart from Muslims na wasabato wakatae kula ili tubaki wachache tuendelee kutusua kwa raha zetu! Kama hukupata kula hii maneno na ungali hai na huna shida ya kutafuna nakushauri uitafute kabla hujafa...
haram kwako dhahabu kwa wengine imani inawafanya watu wanajidanganya.sasa kipi bora kati ya uzinzi na nyama ya nguruwe?!!!!!!
Mpwa mguu wa shwain dume au jike?
Ni bora mara mia anayekula kitimoto kuliko binadamu anayemfira mwenzie
Acha ushamba akili yako ilishaibiwa na waarabu kila kilicho chao unakiona ni kizuri ndio maana unawaiga kuanzia mavazi , lugha, kufuga midevu na kila kitu . ubongo wako wa ku reason umeuweka rehani .unasema inaharibu dushe mbopna wachina ndio wanaonoza kwa idadi ya watu duniani? au uo utafiti umeufanya kinyumenyeme kama maandishsh fulani?
Kama upo dar njoo ubungo bus stand ingia kama unaenda ubungo hostel mbele kidogo. Mie nipo hapa nasubiri iive nibebe nikale na familia.