RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Ni Wapi aliposema Yesu kuleni Nguruwe katika Biblia ? mimi ndio ninayotaka usilete maneno yako ya mafumbo hapa toa Aya inayosema hivyo RGforever
SI MIMI GOMBANA NA MANENO YA YESU
"KIINGIACHO MWILINI HUTOLEWA CHOONI"
Na Nguruwe huliwa na Kutupwa Chooni kama Kinyesi..
"SAFISHENI KWANZA ROHO ZENU NA KILA KITU KWENU KITAKUWA HALALI"
[UNAACHA KULA NGURUWE NA KUMWITA NAJISI WAKATI WEWE NI MZINZI NA MWASHERATI wa kutupwa]
kama Umeenda SHULE utajua nini maana ya Mafumbo na Tafsiri zake Lakini kama shule yako ni Madrasa bora usisumbuke.
Nakushangaa wewe uliyefundishwa Darasa la nne/Tano Mafumbo leo unaniambia nisikuletee Mafumbo. Inadhihirisha jinsi gani hukuelewa huko shule na Elimu yako ni Matatizo
Last edited by a moderator: