Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Ni Wapi aliposema Yesu kuleni Nguruwe katika Biblia ? mimi ndio ninayotaka usilete maneno yako ya mafumbo hapa toa Aya inayosema hivyo RGforever

SI MIMI GOMBANA NA MANENO YA YESU

"KIINGIACHO MWILINI HUTOLEWA CHOONI"
Na Nguruwe huliwa na Kutupwa Chooni kama Kinyesi..



"SAFISHENI KWANZA ROHO ZENU NA KILA KITU KWENU KITAKUWA HALALI"
[UNAACHA KULA NGURUWE NA KUMWITA NAJISI WAKATI WEWE NI MZINZI NA MWASHERATI wa kutupwa]

kama Umeenda SHULE utajua nini maana ya Mafumbo na Tafsiri zake Lakini kama shule yako ni Madrasa bora usisumbuke.

Nakushangaa wewe uliyefundishwa Darasa la nne/Tano Mafumbo leo unaniambia nisikuletee Mafumbo. Inadhihirisha jinsi gani hukuelewa huko shule na Elimu yako ni Matatizo
 
Last edited by a moderator:

Ubishi wenu ndio unawaponza! Wewe kula tu ukikuwa utaacha!
 

Ukichanganya na ndizi bukoba we acha tu .mate yananitoka
 
Last edited by a moderator:
gonga tena mdudu....
uone kama utatoka vipele...
utazoea tu, tupiamo.
 

hakika ww co muislam na acha porojo zko za kutaka kupotosha umma na dhana yako ya kidini........
kwa maneno yako ww ni Bwana Sensa....... kimbia kafanye kaz yko
 
Mbona ngamia nae kapasuliwa kwato na amehalalishwa sinagogini?
[h=2]Kumbukumbu la Torati, Chapter 14[/h][SUP]14:7[/SUP] Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;

[SUP]14:8[/SUP] na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse. Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
mi naomba niulize kitu kimoja kabla hatumjabishana saana ina maana nikila nguruwe siku nikifa nitahukumiwa mbele ya haki kuwa ulikuwa unakula nguruwe?? assume kuwa mambo yoote nilikuwa nafanya mema isipokuwa kula nguruwe? ebu jadilini vitu vingine vya maana sio hivi tafadhali maana tunaishi kwa unafiki sana watu mnaambiana unakula najisi wakati anaemwambia mwenzake anafanya najisi zaidi ya kula nguruwe, please stop it
 

huwezi kuhukumiwa kwa kula nguruwe, ila kwa matendo maovu,
 
huwezi kuhukumiwa kwa kula nguruwe, ila kwa matendo maovu,

asante
je na yule anaemwambia kuwa unafanya dhambi kwa kula nguruwe wakati yeye anafanya maovu mengine zaidi ya kula nguruwe huyu mtu tumuiteje??
 

Kweli ibilisi atakwenda na wengi motoni kama alivyoahidi.
 

Nguruwe ambapo katika mwili wake hukusanyika jumla ya vijiumbe maradhi visivyoondoka kwa kuoshwa
Mdomo ni maficho ya vijidudu, bakteria na virusi vinavyokwenda kwa binadamu na wanyama.
Baadhi yake vinamhusu nguruwe, mfano wa kidudu kiitwacho Trchinella, nywelenywele ziitwazo Balantidium Dysentery, wadudu wa tumbo (Taenia Solium) na mchango wa nguruwe (Spiralis). Baadhi yake huingizwa kwenye maradhi mengi ya pamoja baina ya binadamu ( Cysticercosis & Influenza) na wanyama.

Minyoo (Ascaris na Fasciolopsis Buski) hupatikana kwa wingi nchini China.

Maradhi ya Balantidiasis hupatikana kwa wachunga nguruwe na wenye kuchanganyika nao, na yanaweza kuenea kwa sura ya mlipuko kama ilivyotokea katika moja ya visiwa vya bahari ya Pacific baada ya kimbunga. Maradhi yanakuwepo panapokuwepo nguruwe katika nchi zilizoendelea kiviwanda kinyume na madai ya uwezekano wa kuushinda uchafu wake kwa kutumia teknolojia mpya zinazoharamisha kula nyama bila ya kibali, hasa nchini Ujerumani, Ufaransa, Philippines na Venezuela.
Kwa kula minofu ya nyama ya nguruwe, (Trichinellosis) hupatwa na ugonjwa wa Balantidium Dysentery. Kwani mke hubungua kuta za matumbo kwa ajili ya kuweka mayai ambayo yanafikia kiasi cha 10,000. Mayai hayo huingia kwenye misuli kupitia damu na kugeuka kuwa ni vijiyai vyenye kuambukiza.
Ama kupata maradhi kupitia mchango wa nguruwe, ni kuwa hiyo hupatikana baada ya kula minofu ya nguruwe mwenye ugonjwa.

Minyoo hukua kwenye mchango wa binadamu na urefu wake unaweza kufikia meta saba, na unakuwa na kichwa chenye miba inayosababisha kukwaruzika kwa kuta za michango na mchupo mkubwa wa damu, na ana mirija minne na shingo. Aina za mke huzaliwa kama kwamba ni wanyama pekee na hufikia maelfu. Na katika kila mmoja kati ya mnyama, huzaliwa zaidi ya mayai elfu moja iwapo utakula Cysticercosis.

Kupatwa na ugonjwa wa minyoo ya tumbo la binadamu, hutokana na kula chakula kilichoingia mayai na kutoa lava, na huingia katika damu kupitia kiungo chochote. Na hatari yake hukisiwa kwa mujibu wa umuhimu wake.
Maradhi haya hayatokei kabisa kutokana na kupatwa na mchango usio na miba katika kichwa na wenye madhara madogo
kabisa Taenia Saginata ya ng’ombe.



KIIMANI
kwa upande wa Quran
"Yeye Amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu" (2: 173).


KWA UPANDE WA BIBILIA
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao” wala msiguse mizoga yao (Walawi 11: 7 – 8).








 
 
Mnataka kututoa kwenye issue ya msingi........ Umbumbumbu unawatawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…