Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

Hofstede

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2007
Posts
3,577
Reaction score
1,109
Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini

Source : ABC News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm


Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:



Je wewe ni mpenzi wa kitimoto?, fikiria tena.
Mimi pia ni mtaalamu wa samaki. Samaki ndiyo wanyama wanaoongoza kuwa na minyoo zaidi kuliko yoyote. Hii inatokana na nature ya habitat yake anayoishi. Ni aquatic na medium nzuri ya Platyhelmiths, Nemotodes and ringworma kibao. Sidhani kama wewe Hofstede huli samaki. Samaki huwa hapimwi na Verts. Labda wa Ikulu!

La msingi wewe ndugu ni kuwa mwangalifu. Just observe hygenic standards by eating well cooked foods and hygenically handled.

Lakini pia usisahau kuwa Kuna worms wanakuwa transmitted by insects. Hawa worms wanahitaji well aerated water, kwa hiyo target hapa ni Morogoro, Mbeya na Lushoto kwenye milima inayotiririsha maji hivyo kuyafanya yawe na oxygen kibao. Hawa wanabababisha blindness. Upofu wenyewe hasa! fortunately strain tuliyonayo East Africa haisababishi upofu na hakuna anayejua sababu! Ile ya West Africa ni balaa! Kuna vijiji wote ni vipofu! Mdudu anaitwa Oncocercus volvus.

Anyway, kuna minyoo kibao kibao na si ajabu about a third ya wana JF wako infected. Check with your physician.

Take home message: Always peleka information in a three dimension orientation. siyo kwa matakwa yako.
 
Last edited by a moderator:
Mimi pia ni mtaalamu wa samaki. Samaki ndiyo wanyama wanaoongoza kuwa na minyoo zaidi kuliko yoyote. Hii inatokana na nature ya habitat yake anayoishi. Ni aquatic na medium nzuri ya Platyhelmiths, Nemotodes and ringworma kibao. Sidhani kama wewe Hofstede huli samaki. Samaki huwa hapimwi na Verts. Labda wa Ikulu!

La msingi wewe ndugu ni kuwa mwangalifu. Just observe hygenic standards by eating well cooked foods and hygenically handled.

Lakini pia usisahau kuwa Kuna worms wanakuwa transmitted by insects. Hawa worms wanahitaji well aerated water, kwa hiyo target hapa ni Morogoro, Mbeya na Lushoto kwenye milima inayotiririsha maji hivyo kuyafanya yawe na oxygen kibao. Hawa wanabababisha blindness. Upofu wenyewe hasa! fortunately strain tuliyonayo East Africa haisababishi upofu na hakuna anayejua sababu! Ile ya West Africa ni balaa! Kuna vijiji wote ni vipofu! Mdudu anaitwa Oncocercus volvus.

Anyway, kuna minyoo kibao kibao na si ajabu about a third ya wana JF wako infected. Check with your physician.

Take home message: Always peleka information in a three dimension orientation. siyo kwa matakwa yako.
 
Mimi pia ni mtaalamu wa samaki. Samaki ndiyo wanyama wanaoongoza kuwa na minyoo zaidi kuliko yoyote. Hii inatokana na nature ya habitat yake anayoishi. Ni aquatic na medium nzuri ya Platyhelmiths, Nemotodes and ringworma kibao. Sidhani kama wewe Hofstede huli samaki. Samaki huwa hapimwi na Verts. Labda wa Ikulu!

La msingi wewe ndugu ni kuwa mwangalifu. Just observe hygenic standards by eating well cooked foods and hygenically handled.

Take home message: Always peleka information in a three dimension orientation. siyo kwa matakwa yako.

Umesoma hiyo article ya ABC ukaielewa sidhani kama unahitaji ufafanuzi zaidi, maana kila kitu kipo clear na aliyeiandika hiyo article naye anakula kitimoto.

Malengo yangu hapa ni kuwapa tahadhari wanaotumiwa kitu hii kuwa makini na si kama ulivyofikiria wewe na hilo ndiyo lengo kamili la JF-Doctor thread.

Kuhusu samaki sikatai huenda ikawa ni kweli lakini kuishi pori moja na simba haikupi sababu ya wewe kupendwa kuliwa na simba. Nguruwe ana-protein nyingi sana kuliko mnyama yeyote nadhani hiyo tutakuwa pamoja, Sababu hii ndiyo inayomfanya kuwa host wa parasite wengi zaidi kwani nyama yake ina-create conducive environment for breeding and feeding hivyo kufanya hata baada ya kupikwa au kukaangwa still kuwa possible host kwani kuna parasite hawafi kwenye degree 100 na pengine below.
 
By Joyce Howard Price
THE WASHINGTON TIMES
February 8, 2007


Federal researchers say neurocysticercosis, a brain infection caused by a pork tapeworm, is a "growing public health problem in the United States," especially in states bordering Mexico, where the disease is endemic.

Neurocysticercosis is the "most common parasitic disease of the central nervous system," according to a study jointly conducted by the federal Centers for Disease Control and Prevention and California public health officials, who reported that "international travel and immigration are bringing the disorder to areas where it is not endemic," such as this country.

"Neurocysticercosis is the primary cause of epilepsy in endemic areas. This brain worm is very serious," Victor C. Tsang, chief of the immunochemistry laboratory in the Parasitic Disease Division of the CDC said in a telephone interview.

"Oral-fecal contamination is the standard route of transmission," he said of the condition.

Neurocysticercosis refers specifically to nervous-system disorders caused by cysticercosis, an infection which can also harm eyes and muscles.

"Recent data indicate cysticercosis is an important cause of death in California," Mr. Tsang and other authors wrote in a recent report on the disease published in the European medical journal Acta Neurologica Scandinavica.

A separate report in this month's issue of the journal Emerging Infectious Diseases found that nearly 60 percent of the 221 U.S. deaths from cysticercosis between 1990 and 2002 involved California residents.

"Most patients [187, or 85 percent] were foreign-born, and 137 [62 percent] had emigrated from Mexico. The 33 U.S.-born persons who died of cysticercosis represented 15 percent of all cysticercosis-related deaths" during the study period, said University of California researchers who wrote the latest report.

Although neurocysticercosis is "especially" a problem in the Southwest, it has also surfaced in other places, such as New York, Philadelphia and Charlotte, N.C., data from other studies show.

"In Hispanics and Latinos, neurocysticercosis accounts for 13.5 percent of [U.S.] emergency-room visits for seizures," federal and California investigators wrote in their report in Acta Neurologica Scandinavica published late last year. "The growth is mainly due to immigration from endemic developing countries," they reported.

Neurocysticercosis occurs when the larvae of a pork tapeworm known as Taenia solium enter and infect the brain and spinal cord and form cysts. Another parasitic disease related to consumption of undercooked pork -- trichinosis -- was relatively common in the U.S. before meat freezing became routine. But that disease is caused by a different type of worm, the roundworm Trichinella spiralis.

A person infected with the intestinal tapeworm stage of the infection will shed tapeworm eggs in bowel movements. Tapeworm eggs that are accidentally swallowed by other people can cause infection, the CDC says in information about the disease at its Web site,Centers for Disease Control and Prevention. These eggs are spread through food, water or surfaces contaminated with feces.

"So if you have people cooking for you or handling your food who are tapeworm carriers and don't have good personal hygiene, you will be exposed to the eggs of the tapeworm" and become infected by swallowing food they touch, Mr. Tsang explained.

Carriers tend to be people from rural developing countries with poor hygiene, where pigs are allowed to roam freely and eat human feces. Mr. Tsang said the condition is rife in Mexico and other parts of Latin America and Central America and "in a large part of China and Africa."

Infection with neurocysticercosis most often causes headaches and seizures, but it can also result in mental confusion, balance difficulties and brain swelling that can kill.

Norma Arceo, a spokeswoman for the California Department of Health Services, said 65 cases of neurocysticercosis were reported in that state in 2004, compared with 44 cases in 2005 and 45 cases in the first 10 months of
2006.

Researcher Amy Baskerville contributed to this report.

Source: Washington Times - Parasitic infection plagues states along Mexico border
 
Sijui wewe bwana Hofstede protein nyingi kwako ina maana gani!? Hakuna kitu kama Nguruwe ana ..."protein nyingi" kwenye bioscience. Huwa kuna kitu kinaitwa quality proteins na hiyo quality inategemeana una refer ipi. Maharage yana proteins pia. Recently kuna habari kuwa cyanobacteria wana proteins nyingi sana. Ila ni makosa, scientifically, kusema wana proteins nyingi kama vile kusema..."nguruwe ana protein nyingi zaidi kuliko mnyama mwingine", . Haina maana. Nadhani kwa biochemisry uko nje na hivyo bora usibishe. Uliza tu. tutakupatia details. Uhitaji kusoma hiyo makala yako kuweza kujua hili. Then nimesoma hiyo makala yako. Ni sawa nia hivi nisemavyo.

NI science. Si lazima kila kitu ujue. Haiwezekani. Wanajua wenye profession. Siasa kila mtu anajua. Take note of that.
 
One more thing,, Hofstede, hakuna animal parasite anashindwa kufa kwenye 100 centgrade!. Biochemically huyo parasite ataitwa thermophile. Mnyama anayeliwa na binadamu hawezi ku-withstand temperature above 55 Celcius for a long time (two hours kama hakuna kiyoyozi au like). Likewise, huyo parasite atahitaji temp ya 100celcius ya kufanyia nini na wakati gani?! Ni adaptative radiation......

Si kila article iliyoandikwa iko right ndugu. ABC ni news agent,,,,sawa na majira au Mwananchi ambapo waandishi huwa wanatumbukiza chochote. Huwa wako right sometimes,,,,, lakini wanaongezea mbwembwe nje ya science. Muhimu kama hujui kuuliza kwanza na si kubadika tu issue hapa. JF kuna wataalamu zaidi ya hizo articles. Lakini kila mmoja yuko right inategemeana na wakati na mazingira yayozunguka.............

Point ni ile ile: kula kitu yoyote iliyopikwa vema na imewekwa sehemu safi. Si kiti moto tu.
 
Mwanjelwa
Sijui wewe bwana Hofstede protein nyingi kwako ina maana gani!? Hakuna kitu kama Nguruwe ana ..."protein nyingi" kwenye bioscience. Huwa kuna kitu kinaitwa quality proteins na hiyo quality inategemeana una refer ipi. Maharage yana proteins pia.

unataka scientific proof soma hapa

The German medical scientist Hans-Heinrich Rec-keweg has identified a novel protein called "sutoxin" in pork meat that causes various allergies. This poison causes allergic illnesses such as eczema and asthmatic rash. If the sutoxin dose is low, it gives rise to bodily fatigue and pains in the joints. In this context, those who assert that pork meat is more economical should consider the work loss of the productive labor force, in which case it turns out to be the most expensive meat there is.

This influence of pork has always been noted in various animal experiments. The property arises from the degeneration that occurs in the lymphatic system of the creature, as a result of continuous ingestion of food contaminated with bacteria. I shall return to this subject below.

There is a large amount of mucopolysac charides in pork meat. Since these substances are rich in sulphur, they, too, lead to afflictions of the joints. Further, the growth hormone has a very high concentration in pigs, with the result that those who consume pork become subject to abnormal bodily defomations.

Another serious illness that the flesh of swine transmits is the SHAPE virus. This virus lodges in the animal's lungs, and for this reason.

read the rest of the story kwenye link hii hapo chini

The Scientific Facts: THE PERILS OF PORK MEAT


Si kila article iliyoandikwa iko right ndugu. ABC ni news agent,,,,sawa na majira au Mwananchi ambapo waandishi huwa wanatumbukiza chochote. Huwa wako right sometimes,,,,, lakini wanaongezea mbwembwe nje ya science. Muhimu kama hujui kuuliza kwanza na si kubadika tu issue hapa. JF kuna wataalamu zaidi ya hizo articles. Lakini kila mmoja yuko right inategemeana na wakati na mazingira yayozunguka

Bwana mwanjelwa wewe usilete politics hapa mimi nimekupa facts sasa kama wewe unaona ni kubandika ni juu yako ukweli ndiyo huo, hakuna mtu anayeweza kukubali kufumuliwa kichwa chake na kwenye brain akatolewa worm just to make up a story.Huwezi kufananisha media kama ABC na magazeti ya udaku ambayo wewe huwa unayasoma badilika. Hiyo diploma yako ya uvuvi isikufanye ku-crash bila kutoa scientifically presented facts with your politically minded thoughts. Wewe una scientific proof yoyote ya hao samaki wa kwenye mabwawa uliokuwa unajifunzia kama "specimen" zako huko chuo cha uvuvi kuwa nao wanaambukiza minyoo?.
 
.................Wewe una scientific proof yoyote ya hao samaki wa kwenye mabwawa uliokuwa unajifunzia kama "specimen" zako huko chuo cha uvuvi kuwa nao wanaambukiza minyoo?.......

Hofstede kwa mtizamo huu sikuwezi. I am educating wrong person at a wrong time!. All the best na thread yako
 
Nguruwe haramu kama kilivyo kisamvu cha kopo!!! LOL, na mwenye masikio na asikie......


Is that the reason Muhammad forbid it? Au imepata nguvu sababu ya minyoo? Hata mbuzi pia aweza kuwa ugonjwa mbaya tena hauna dawa: unaitwa GOUT! Mbona Mbuzi hakuwa forbiden na Muhammad?

Sorry for my comments coz it looks religious, nimekujibu kwa sababu tu umeshaingiza mawazo ya kidini (Nguruwe haramu)!
 
Jamani nashukuru wataalam wote mliochagia mada hii critically.

Nimepata fundisho lenye evidence maana nimekuwa nikisikia habari za minyoo wa nguruwe but sikuwa nimepata details. Pia kuna mtu aliniambia kuwa ukichukua a coke or pepsi ikimwagia nyama ya nguruwe utaona inatoa funza, sijui kama ni kweli maana sijajaribu. Nikipata wasaa nitajaribu kuona ukweli wake.

Na wewe mlaji nakusihi ujaribu then uje hapa jammvini utuhabarishe yatokanayo. Huyu mbuzi Katolika/Mkuu wa Meza huwa namla japo si mara kwa mara. Samahani mimi sifungamani na imani za mnyama huyu, ninafahamu "kiingiacho si najisi bali kitokacho". Wote wanaokula tuwaheshimu na wale imani au afya zao zinawazuia wasile nyama tamu hii basi wa reserve comments zao ili kuleta harmony hapa.

Thanks for your contributions, Bravo.
 
Nguruwe noma,bia noma,bangi noma,samaki nao minyoo,wengine wanasema soda nazo visukari,juice za makopo noma,mara mafua ya ndege, maji nayo viwanda vimechafua, nk sasa kipi salama ndugu zangu?

Naungana na aliyesema,chakula kipikwe vizuri na afya ya mpishi na usafi kwa ujumla ni muhimu.
 
Hofstede kwa mtizamo huu sikuwezi. I am educating wrong person at a wrong time!. All the best na thread yako

Wewe ulisema kuwa kabla sijaandika nikuulize wewe mtaalama wa "Biochemistry" kwamba nisi-rely on media kuleta argument zangu sasa inakuwaje mwalimu unashindwa kumfundisha mwanafunzi ambaye amekusanya kazi yake ukasema amekosa leta masahihisho basi. Iam not a wrong person Mwanjelwa I am not, may be you are. Bring your scientific proof ndiyo utaweza kunishawishi. vinginevyo ni "Hatari sana kula nyama ya nguruwe"
 
Nguruwe haramu kama kilivyo kisamvu cha kopo!!! LOL, na mwenye masikio na asikie......

Kisamvu? kisamvu cha kopo? mbona sikijui hicho! kinauzwa supermarket au dukani kwa mangi? Tuagizie tukanunue nasi tuonje kikoje!
 
Uwezekano wa kupata Taenia soleum kwa brain ni mdogo sana almost negligible labda ni 1 kwa watu billioni 5, kwa sababu kwenye brain kuna kitu inaitwa blood brain barrier ambayo kazi yake ni kuchuja damu yote inayoenda kwa brain. hata kama kuna kitu ndogo kama pin point ikiwa haitakikani kuingia kwa brain haita pita hapo. Nawaasa wote wanao tumia hiyo kitu moto watumie tu lakina wahakikishe anapikwa na kuiva vizuri ili kuepusha madhara mengine ya kiafya.
Asante kuniruhusu kuchangia





Rosemary Alvarez alijikuta akiwa na maumivu ya kichwa na mkono kukosa nguvu. baada ya kufanyiwa scanning ikaoneka kama ni "brain tumor", pindi alipofanyiwa upasuaji alikutwa na "mnyoo (taenia solium)" akiwa hai unakula brain yake. Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?. soma zaidi kwenye link hii hapa chini

Source : ABC News: It's Not a Tumor, It's a Brain Worm


Angalia hapa Mchina huyu pia akitolewa minyoo mingi usoni ambayo pia ilisababishwa na utamaduni wa kula nyama ya nguruwe:

YouTube - Worm inside your face

Je wewe ni mpenzi wa kitimoto?, fikiria tena.
 
...Chanzo hasa cha mnyoo huo ni kula nyama ya nguruwe ambayo kitaalamu anaprotein nyingi kuliko mnyama yoyote na hivyo kuvutia parasite wengi kwa mnyama huyu . Je ni watanzania wangapi wanapata uangalizi wa kugundua afya zao na wanakula nyama hii kila siku tena inayofugwa katika mazingira si salama?.

soma zaidi kwenye link hii hapa chini...

Je wewe ni mpenzi wa kitimoto?, fikiria tena.

Hofstede,

Kabla sijakuita mwongo wa kuchomwa na tanuru la makaa ya mawe naomba uonyeshe ni wapi iliposemwa kwamba ugonjwa huo unatokana na kula nyama ya mnyama huyo, kutoka katika hii taarifa uliyotuwekea kama chanzo cha habari na ushauri wako:

How Humans Get Worms

Kuhn said whether you get a tapeworm in the intestine, or a worm burrowing into your brain can depend on how you consumed the parasite.

Eat the parasite in tainted meat and you'll end up eating the larvae, called cysts. Kuhn said in that case, a person can only end up with a tapeworm.

"You can eat cysts all day long and it won't get into your brain,"
said Kuhn. Instead, the larvae go through the stomach and mature in the intestine. "When it gets down into their small intestine, it latches on, and then it starts growing like an alien," said Kuhn.

Once there, the tapeworm starts feeding and gets to work. A single tapeworm will release 50,000 eggs a day, most of which usually end up in the toilet. "They can see these little packets pass in their feces," said Kuhn. "And ... sometimes people eat the eggs from feces by accident."
Kuhn said it is then feces-tainted food, and not undercooked pork, that leads to worms burrowing into the brain.

Unlike the cysts, the eggs are able to pass from the stomach into the bloodstream. From there, the eggs may travel and lodge in various parts of the body -- including the muscle, the brain or under the skin -- before maturing into cysts themselves.

One person infected with a parasite, who also has bad hand washing habits, can infect many others with eggs. "These eggs can live for three months in formaldehyde," said Kuhn. "You got to think, sometimes, a person is slapping lettuce on your sandwich with a few extra add-ons there."

Halafu, ukimaliza hilo, naomba u cite references au uonyeshe umejuaje kwamba huyo mnyama:

1 ) ana protein nyingi kuliko wanyama kama samaki, kuku, ng'ombe, na turkey,
2 ) na kwamba hiyo protein nyingi ndio sababu ya parasites kupenda kuishi katika mnyama huyo.
 
Hofstede,

Kabla sijakuita mwongo wa kuchomwa na tanuru la makaa ya mawe naomba uonyeshe ni wapi iliposemwa kwamba ugonjwa huo unatokana na kula nyama ya mnyama huyo, kutoka katika hii taarifa uliyotuwekea kama chanzo cha habari na ushauri wako:



Halafu, ukimaliza hilo, naomba u cite references au uonyeshe umejuaje kwamba huyo mnyama:

1 ) ana protein nyingi kuliko wanyama kama samaki, kuku, ng'ombe, na turkey,
2 ) na kwamba hiyo protein nyingi ndio sababu ya parasites kupenda kuishi katika mnyama huyo.



Hana mpya huyo. Kakurupuka tu na hiyo info kutoka ABC bila ku-digest. Tunamsaidia kumpiga shule analeta ubishi. Nikagundua kuwa nasomesha degree kwa mtoto wa miaka minne! Nimem-shit na elimu yake finyu ya minyoo. Isitoshe akienda lab huyo, anaweza kutwa na hiyo minyooo....
 
Is that the reason Muhammad forbid it? Au imepata nguvu sababu ya minyoo? Hata mbuzi pia aweza kuwa ugonjwa mbaya tena hauna dawa: unaitwa GOUT! Mbona Mbuzi hakuwa forbiden na Muhammad?

Sorry for my comments coz it looks religious, nimekujibu kwa sababu tu umeshaingiza mawazo ya kidini (Nguruwe haramu)!
...and the pig, for though it divides the hoof, thus making a split hoof, it does not chew cud, it is unclean to you. 8 ‘You shall not eat of their flesh nor touch their carcasses; they are unclean to you.
Leviticus 11:7-8
 
...and the pig, for though it divides the hoof, thus making a split hoof, it does not chew cud, it is unclean to you. 8 ‘You shall not eat of their flesh nor touch their carcasses; they are unclean to you.
Leviticus 11:7-8

Xp, endelea mbele kidogo kitabu na sura hiyo hiyo utakuta Sungura na Ngamia katika kundi hilohilo!
 
...and the pig, for though it divides the hoof, thus making a split hoof, it does not chew cud, it is unclean to you. 8 ‘You shall not eat of their flesh nor touch their carcasses; they are unclean to you.
Leviticus 11:7-8


...hii ilikuwa wakati ule ikiandikwa. Siyo sasa ambapo population ni kubwa sana na resources scarce. Kwa mfano kuna mtu aliwaambia wenzake waoe wake wanne wakiwa na uwezo. These things do not apply now. Jamaa kibao wa namna hiyo wana uwezo tunawafahamu.Ukiwauliza vipi, mbona waangaika pembeni, wanajibu wala sitaki kufa miye! Yule mmoja tu labda aniue yeye.
 
Back
Top Bottom